GE2025 Prof. Kitila Mkumbo: Ilani ya CCM inakemea Utekaji

GE2025 Prof. Kitila Mkumbo: Ilani ya CCM inakemea Utekaji

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,448
Reaction score
2,099
Akiwa katika mahojiano ya kipindi cha Dakika 45 ITV Septema 8, 2025, Professor Kitila Mkumbo alisema haya kuhusu suala la utekaji na ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM)

"ilani ya CCM ina vipaumbele tisa, kwa mfano kipaumbele cha sita ni kudumisha demokrasia na utawala bora, hapa tunazungumzia habari za haki....tumekemea vitendo vya utekaji na tumelitaka Jeshi la Polisi ambalo lina dhamana kuhakikisha kwamba watu wote ambao wanadaiwa kupotea wanatafutwa, wanapatikana...."Mwenyekiti Kamati ndogo iliyoandaa ilani ya CCM- Prof.Kitila Mkumbo



Chanzo: ITV DIGITAL
 
Watu wanaishi kinyume kabisa na maandiko matakatifu itakuwa Ilani?
 
Baba askofu mungu atuache kwanza kipindi hiki cha uchaguzi.tulia akson
 
Ukishakuwa tu ccm, hata kama ni Profesa! Akili zako zinakuwa sawa tu na za mtoto wa darasa la nne.
 
unafiki mbaya sana.anatuthbitishia police hawana uwezo kuwakamata kwasababu wanatumika na chama au hawana uwezo nakama hawana uwezo tufute jeshi lote tuunde upya jesh lenye weledi na ya kisasa zaidi c hi ya uvccm
 
Back
Top Bottom