Binti Kirembwe
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 307
- 332
Wasomi wengi ni waoga sana kupoteza kazi kuliko watu wenye elimu ya kat na ya kawaida
Kama uprofesa kaupata kwa mawazo mengine kumbe hakuwa mkweli siyo profesa huyo. Aeleze kwanini amegeuka arudishe na cheti mjinga huyoKumshambulia sio njia sahihi
Kila mtu anamtanzamo wake na ana maoni yake
Hata kama huyakubaliani na mtazamo wako na hili ndo kosa La tuliowengi .
Ukiwa hukubaliani na mawazo ya mwenzako unayaheshimu na kuto kuyazingatia.
Asitegemee atakuwepo maisha yake yote mpk anapoteza ukweli na heshona yake. Atulie kwani mpk asemaKumshambulia sio njia sahihi
Kila mtu anamtanzamo wake na ana maoni yake
Hata kama huyakubaliani na mtazamo wako na hili ndo kosa La tuliowengi .
Ukiwa hukubaliani na mawazo ya mwenzako unayaheshimu na kuto kuyazingatia.
Uprofesa kama ungekuwa unafutwa hawa wangefutwa
Basi tuseme aandamwa au azongwa na wanafunzi wakeKumshambulia sio njia sahihi
Kila mtu anamtanzamo wake na ana maoni yake
Hata kama huyakubaliani na mtazamo wako na hili ndo kosa La tuliowengi .
Ukiwa hukubaliani na mawazo ya mwenzako unayaheshimu na kuto kuyazingatia.
hahahaNjaa haichagui mwalimu wala mwanafunzi