GE2025 Prof. Kitila aridhishwa na zoezi la kura za maoni Ubungo

GE2025 Prof. Kitila aridhishwa na zoezi la kura za maoni Ubungo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Ubungo ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akizungumza mara baada ya kupiga kura ya maoni leo Agosti 4, 2025 katika kituo kilichopo kwenye ukumbi wa Kibo Park uliopo Ubungo Kibo, ambapo amepongeza zoezi hilo akisema limefanyika kwa uwazi na demokrasia ya hali ya juu.

Soma pia: Makalla: Profesa Kitila Mkumbo ni hazina kubwa kwa Chama na Taifa

Chanzo: Jambo tv
 
Back
Top Bottom