Prof. Kighoma Ali Malima na gazeti la Uhuru

Mzee nilikuwa na maswali kadha wa kadha. Miaka ya mzee wa ruksa siasa ilionekan Kam sehem ya utengenezaji uchumi bila ya kuangalia madhara ya ukaribu wa Tanzania na watu weupe. Sias huru na demokrasia zikawa kipao mbele kwa mkapa na hili lilileta picha mpya 1995 na kuendelea. Kwa muonekano na taswira ya siasa ya sasa , uhujum uchumi w viongozi uliothibitika (escrow) na uliojificha
Unahisi watanzaniA Vita kubwa y kuanza nayo ni ipi kuondoa umaskini. Elimu au siasa ovu za uendeshaji uchumi!? Huyu mjinga atanufaik vipi tukianz kuboresha uongozi!? Na nimeona baadhi y wasomi wakiomba tuikague maana nzima ya ujinga (isiishie kwenye kusoma na kuandika)
2. Kwa hoja y historia na siasa kuja kwa vyama vingi pengine kumekuw sehem sabbu y tamaa ya uongoz kuongezeka na uchu wa kukusanya utajir kupitia uongoz ikiw Kama nafas pekee waliyoikosa watu wengi
SWALi:. Kwa uzoef wako na utambuz wa siasa unapendkez nini!? Turud tulipotoka(chAm kimoj)!? Tuboreshe namna ya utekelezaji wa shughuli za kiuongozi (kiuwaz, kisheria na mamlaka)
 
Utukuzaji w viongoz w sas n wastaafu kwa Mimi unaleta maana ya 'mstari miliki' Yan system has ukiangalia mifumo ya kuajiri watumishi wapya w serikali(nafasi kubwa za mamlaka) leo hii rais w Zanzibar ni mtoto w aliewahi kuwa rais w Tanzania, hii inaleta picha gani kwa uelew wako wa masuala y siasa, nguvu na uongozi!?
 
Mzee nilikuwa na maswali kadha wa kadha. Miaka ya mzee wa ruksa siasa ilionekan Kam sehem ya utengenezaji uchumi bila ya kuangalia madhara ya ukaribu wa Tanzania na watu weupe. Sias huru na demokrasia zikawa kipao mbele kwa mkapa na hili lilileta picha mpya 1995 na kuendelea. Kwa muonekano na taswira ya siasa ya sasa , uhujum uchumi w viongozi uliothibitika (escrow) na uliojificha
Unahisi watanzaniA Vita kubwa y kuanza nayo ni ipi kuondoa umaskini. Elimu au siasa ovu za uendeshaji uchumi!? Huyu mjinga atanufaik vipi tukianz kuboresha uongozi!? Na nimeona baadhi y wasomi wakiomba tuikague maana nzima ya ujinga (isiishie kwenye kusoma na kuandika)
2. Kwa hoja y historia na siasa kuja kwa vyama vingi pengine kumekuw sehem sabbu y tamaa ya uongoz kuongezeka na uchu wa kukusanya utajir kupitia uongoz ikiw Kama nafas pekee waliyoikosa watu wengi
SWALi:. Kwa uzoef wako na utambuz wa siasa unapendkez nini!? Turud tulipotoka(chAm kimoj)!? Tuboreshe namna ya utekelezaji wa shughuli za kiuongozi (kiuwaz, kisheria na mamlaka)
Sir,
Mimi bahati mbaya sina ujuzi wa hayo uliyoniuliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom