Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 169
Profesa wa Uyoga...... Nilicheka sana niliposikia kuwa alipata PHD baada ya kufanya utafiti wa Zao la Uyoga...
acha umbumbu. Uprof ni utafiti.
Profesa wa Uyoga...... Nilicheka sana niliposikia kuwa alipata PHD baada ya kufanya utafiti wa Zao la Uyoga...
Ni kweli mimi ninakodisha, lakini kiasi ninachochukua ni kidogo kuliko kile anachochukua Waziri Magufuli katika Wilaya ya Chato, kwani naye anaikodishia halmashauri ya wilaya yake jengo linalotumika kama ofisi, alisema Kapuya.
huyo prof kapuya alimuachia zitto sh ngapi? Maana zitto hanyamazishwi hivihivi burebure lazima akazichukue crdb au berlin kupitia account ya yule demu.
upo tayari kuwa shahidi wa yericko pale kisutu wiki ijayo?
Mbumbu ni yule anayekataa bila ya kuwa na jibu...acha umbumbu. Uprof ni utafiti.
Huyo Prof Kapuya alimuachia Zitto sh ngapi? Maana Zitto hanyamazishwi hivihivi burebure lazima akazichukue CRDB au Berlin kupitia account ya yule demu.