GE2025 Prof Kabudi: Wananchi wanahitaji habari zenye uzito wa hoja na si uzito wa posho, waandishi jiepusheni na bahasha za kahawia

GE2025 Prof Kabudi: Wananchi wanahitaji habari zenye uzito wa hoja na si uzito wa posho, waandishi jiepusheni na bahasha za kahawia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Wakati akizungumza kwenye Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Habari Kanda ya Mashariki Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, Waziri wa habari Prof Kabudi amewahimiza waandishi wa habari kuacha kupokea rushwa na bahasha za kahawia kwani wananchi wanahitaji habari zenye uzito wa hoja na si uzito wa posho.

"Tujiepushe na dhana ya bahasha ya kahawia, rushwa katika uandishi w ahabari ni doa kubwa kwa taaluma yetu. Wananchi wanahitaji habari zenye uzito wa hoja siyo uzito wa posho.

Rushwa katika sekta ya habari hupoteza uaminifu wa vyombo vya habari, huhangia katika kupotosha umma, hudhohofisha demokrasia, huchangia kukuza ufisadi, huzuia uwajibikaji wa viongozi, hudumaza maendeleo na kuhatarisha maisha ya waandishi waadilifu." -
Prof Kabudi
 
balile kazini sana anapiga cm Hadi Kwa kizimkazi anaomba hela...... ndoma alikimbia mpaka press ya polepole
 
Wakati akizungumza kwenye Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Habari Kanda ya Mashariki Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, Waziri wa habari Prof Kabudi amewahimiza waandishi wa habari kuacha kupokea rushwa na bahasha za kahawia kwani wananchi wanahitaji habari zenye uzito wa hoja na si uzito wa posho.

"Tujiepushe na dhana ya bahasha ya kahawia, rushwa katika uandishi w ahabari ni doa kubwa kwa taaluma yetu. Wananchi wanahitaji habari zenye uzito wa hoja siyo uzito wa posho.

Rushwa katika sekta ya habari hupoteza uaminifu wa vyombo vya habari, huhangia katika kupotosha umma, hudhohofisha demokrasia, huchangia kukuza ufisadi, huzuia uwajibikaji wa viongozi, hudumaza maendeleo na kuhatarisha maisha ya waandishi waadilifu." -
Prof Kabudi
View attachment 3448085
Naunga mkono hoja Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa
P
 
Back
Top Bottom