Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,744
- 21,145
Why?, Hakuna elimu nzuri kama utambuzi wa asili, /origin ya kitu chochote!Kabudi ni aibu katika mwili
Why?, Hakuna elimu nzuri kama utambuzi wa asili, /origin ya kitu chochote!Kabudi ni aibu katika mwili
Kubwa la machawa katika ubora wake, hv huyu kenge tangu akili zile tilioni 400 ilikuwa kanyaboya, na kusema yeye katoka jalajalani, bado anaona ana maana yoyote mbele ya wa Tanzania, hapo linawaza jinsi litakavyoingia bungeni, ama kwa kuteuliwa au la,so pathetic, ukiwa na msomi mzuri ambae anaona kitu pekee kwake ni kuteuliwa kuwa mbunge!Prof Kabudi amesema yeye asili yake ni mkoa wa Singida ambao kiasili una makabila makubwa mawili yaani Wagogo na Wanyaturu waliotokea Ethiopia
Kabudi amesema kabla ya Uhuru Biashara kuu zililofanyika Singida ni Biashara ya Watumwa na Pembe za Ndovu Ndio sababu Singida na Bagamoyo wanaelewa a sana
Kadhalika Kilimatinde ya Singida ipo Unguja na Pemba na ukienda Oman utawakuta Wanyaturu waliotokea Singida, amesisitiza Profesa
Pia Azimio la Arusha liliandikiwa Singida na Mkuu wa Wilaya wa kwanza mwafrika Wakati wa Mkoloni alitokea Singida
Prof Kabudi amesema kiasili Wanawake wa Singida ni majasiri kuliko Wanaume na Brigedia wa kwanza mwanamke ambaye pia alipigana Vita ya Kagera anatokea Singida
Mlale Unono
Niliposikia tu hili jina nikawahi kufungua uzi nikadhani mgao wa Noah zetu tayari, kumbe sisi tuna undugu na Oman basi sawa🙌🙌🙌Prof Kabudi amesema yeye asili yake ni mkoa wa Singida ambao kiasili una makabila makubwa mawili yaani Wagogo na Wanyaturu waliotokea Ethiopia
Kabudi amesema kabla ya Uhuru Biashara kuu zililofanyika Singida ni Biashara ya Watumwa na Pembe za Ndovu Ndio sababu Singida na Bagamoyo wanaelewa a sana
Kadhalika Kilimatinde ya Singida ipo Unguja na Pemba na ukienda Oman utawakuta Wanyaturu waliotokea Singida, amesisitiza Profesa
Pia Azimio la Arusha liliandikiwa Singida na Mkuu wa Wilaya wa kwanza mwafrika Wakati wa Mkoloni alitokea Singida
Prof Kabudi amesema kiasili Wanawake wa Singida ni majasiri kuliko Wanaume na Brigedia wa kwanza mwanamke ambaye pia alipigana Vita ya Kagera anatokea Singida
Mlale Unono 😃😃
pamoja na ujinga wske mwingi,huyo jamaa ni mwanahistoria hasaHatimaye Prof. kawa multi-sectoral.... kutoka kuwa mwanasheria nasasa ni mwanahistoria.Leo yeye ni wa Singida,na vilevile kaongelea hadi Oman,hakika anaona mbali huyu.
Hatimaye Prof. kawa multi-sectoral.... kutoka kuwa mwanasheria nasasa ni mwanahistoria.Leo yeye ni wa Singida,na vilevile kaongelea hadi Oman,hakika anaona mbali huyu.
Kwa hiyo Kabudi alisafirishwa kwenda kuongea tu huo ujinga?Prof Kabudi amesema yeye asili yake ni mkoa wa Singida ambao kiasili una makabila makubwa mawili yaani Wagogo na Wanyaturu waliotokea Ethiopia
Kabudi amesema kabla ya Uhuru Biashara kuu zililofanyika Singida ni Biashara ya Watumwa na Pembe za Ndovu Ndio sababu Singida na Bagamoyo wanaelewa a sana
Kadhalika Kilimatinde ya Singida ipo Unguja na Pemba na ukienda Oman utawakuta Wanyaturu waliotokea Singida, amesisitiza Profesa
Pia Azimio la Arusha liliandikiwa Singida na Mkuu wa Wilaya wa kwanza mwafrika Wakati wa Mkoloni alitokea Singida
Prof Kabudi amesema kiasili Wanawake wa Singida ni majasiri kuliko Wanaume na Brigedia wa kwanza mwanamke ambaye pia alipigana Vita ya Kagera anatokea Singida
Mlale Unono 😃😃
Nchi ina wasomi wajinga sn ambao hawajaelimika kama hiviMzee wa kucheza na fursa,omani ujombani
Huwez kuwa na elimu na kama unayo ni ya makaratasi. Kuwa profesa kunazuia vipi kuwa na historia interest. Kwan hujajua kuwa wanasayans wabobez waliogundua unachojifunza shulen walikua mult talent.mfano galileo galilei alikua mwanafizikia,mnajimu,mpiga piano mshairi ,waliogungudua mahesab wakina al khwarizm(algorithim) wameandika vitabu katika fani za mashairi,astrology, fizikia,mathematics,tiba na n.k.nHatimaye Prof. kawa multi-sectoral.... kutoka kuwa mwanasheria nasasa ni mwanahistoria.Leo yeye ni wa Singida,na vilevile kaongelea hadi Oman,hakika anaona mbali huyu.
Kwenye siasa ni ujanja ujanja tu na porojo mingi !Uchawa unalipa.....
Matokea ya kabudi
Std VII
Lugha A, hisab A na maarifa A,
Olev akakaza A zote
Advance akakaza A zote
Undergraduate Hadi PhD akasimika mabanda matupu.
Akafundisha chuo Kwa weredi na kuheshimika.
Ameingia tu siasa zikamruka.
Unaweza kuwa mwanasheria bila kusoma historia?Hatimaye Prof. kawa multi-sectoral.... kutoka kuwa mwanasheria nasasa ni mwanahistoria.Leo yeye ni wa Singida,na vilevile kaongelea hadi Oman,hakika anaona mbali huyu.
Kwahio Prof katudanganyaDC wa kwanza wakati wa ukoloni alikuwa dastani omari kutoka masasi
Wilaya ya SingidaDC wa kwanza wakati wa ukoloni alikuwa dastani omari kutoka masasi
Wilaya ya Singida Ndio ilitoa DC wa kwanza mwafrika siyo kabilaKwahio Prof katudanganya