Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 5,792
- 7,756
.....Bali anapewa maziwa, asali na mkatee..Mtoto mpenzi wa Baba hagombezwiii.....
.....Bali anapewa maziwa, asali na mkatee..Mtoto mpenzi wa Baba hagombezwiii.....
BUNGENI DODOMAAlisemea wapi hiyo kauli pia
All bark, no bite?Pomeranian
aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh!Magufuli has been undervaluing his presidential position, can you believe it Makonda calling him and put him on a loud speaker in the middle of an audience
Kuna mahali nilisikia wakisema "Akati kalakusiiga a'mazi, okanhyela n'okabona" wakiimanisha "Njiti itakayokupaka mavi, unainyea ukiiona".
Ni kweli. Mkimgombeza mnakosa kitoweo.Mtoto mpenzi wa Baba hagombezwiii.....
Exactly msemo wa kanda ya ziwa Kagera. Hiki kijiti kuna siku kitampaka mavi! IT IS A MATTER OF TIMEKuna mahali nilisikia wakisema "Akati kalakusiiga a'mazi, okanhyela n'okabona" wakiimanisha "Njiti itakayokupaka mavi, unainyea ukiiona".
Hii kali na - to the point.A fucking hybrid, lapdog and germany shepherd..
Hahahaaaaa umenikosha ndugu, coz unajua mtoto mbeya kuliko wote nyumbani anayependa kusema siri za mama hatakamani mbululaa kiasi gani lazima baba ampende coz si ndio mbea wake...Mtoto mpenzi wa Baba hagombezwiii.....
Hawa jamii hii huwa wana kasumba mnatoroka pamoja home but yeye huwa na tendense ya kurudi kabla yenu na kujikosha kwa unoko kibao, utasikia wapo mtoni wanaogelea nahuku naye alikuwemoHahahaaaaa umenikosha ndugu, coz unajua mtoto mbeya kuliko wote nyumbani anayependa kusema siri za mama hatakamani mbululaa kiasi gani lazima baba ampende coz si ndio mbea wake...
Magufuli has been compromised by Makonda; it is up to TISS to make sure that they make it difficult for Makonda to access the president for the security of the country!!
Hapo ndipo anakuja kushtukia malipo ni mjukuu, saa hizo yeye hayumo.!Kuna binadamu huanza kutenda halafu kufikiri kwa kina hufuata baadae.
Unaogopa kuyaweka ili iweje. Nimemsikiliza kasema kuna watu kuzaa hawawezi ndiyo maana wamekwenda kupandikiza mayai kwa wake zao na kwa sababu yameonekana yanafanana imeshindikana na mwisho wa yote wamependikiza mayai ya watu wengine mpaka mimba ikashika, anauliza je baba wa mayai akidai motto wake watafanyaje?Mbunge Mlinga ametoa hoja bungeni kuwa Makonda hakuwatendea haki wabunge kwa kuwataja kuwa wametelekeza watoto. Wabunge wengine wamesema Makonda yuko sahihi na wale wote waliotelekeza watoto wakatoe matunzo. Mbunge Msukuma ametoa maoni ambayo kwa kweli yalikosa ustaarabu kabisa na siwezi kuyaweka hapa. Chanzo TBC!