Prof Kabudi kauanza mpira kama Ajib

Prof Kabudi kauanza mpira kama Ajib

Nimemsikia Kabudi Akibweka Kama Mbwa Koko mbele ya Wageni Wa Boss wake Lakini Kombora Limeshatumwa From Belgium na Kumkalisha Kimya..hii ndio hasara ya Kuweka Ubongo Matakoni na Kuanza kutumia Tumbo Kufikiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabudi wa kabla kuwa Waziri,na Kabudi Waziri,wakikutana kwa hoja za enzi hizo na hoja za sasa,watapigana bila ubishi wowote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwisho wa siku huyo lisu wenuwala atakua hajawasaidia kwa lolote, atatulia km sio mwanasiasa na maisha yatasonga. acheni ushabiki usio na tija, ccm ni chama makini sana hakiwezi kushindana na huyo mpuizi wenu

Mtoa Hoja ni mwenzako..
Anahoji ndy umakini huo wa kutoa mpira nje?
Jamvini hapa jitahidi umjibu kwa Hoja, mwanaCCM mwenzio....
 
mwisho wa siku huyo lisu wenuwala atakua hajawasaidia kwa lolote, atatulia km sio mwanasiasa na maisha yatasonga. acheni ushabiki usio na tija, ccm ni chama makini sana hakiwezi kushindana na huyo mpuizi wenu
Lissu versus ccm dakika ya 25 tayari mmefanya sub ya 3 maana mlianza na yule ally possible mkaja na mliemuita mwanasheria anakaa America miaka kedekede kijana wangu anajua English kumshinda now mmeleta sub ya 3 na ya mwisho

Sub yenyewe mmefungwa mnaingiza beki halafu beki injury

Aende hard talk akatemee mate mikamera
 
Back
Top Bottom