Prof. Kabudi awe wa mwisho.Tufumue vyuo vya serikali vimehodhi ujinga ndani ya Elimu

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Napenda kumshukuru tena Rais kwa kuwasukumiza wasomi wasanii wa hii nchi hadi mwisho wa uwezo wao. Kawaleta wengi na wamechemsha ktk kipindi kifupi. Sasa mjadala utakuwa rais sana ,linapokuja swali km elimu inayotolewa ktk vyuo vyetu ina viwango na ni sahihi .Tulizoea kuambiwa kuwa huko nje wakishindwa ni chuki za watu wasioitakia nchi mema,ni ubaguzi. Tulizoea kuambiwa kwamba elimu yetu ipo juu sana.Tuliambiwa mengi yaliyowapa kiburi wasomi wetu.Tuliambiwa mengi sana ,ila kwa vile hakuna tofauti sana ya ma Prof/Dr. . wa jadi na waliopitia ktk mfumo wa kizungu ktk nchi hii. Wote wanavimbishiana vifua mitaani. Na mara nyingine hata hawa Mfumo wa kizungu wenye asili ya Tanzania huwa wananyoosha mikono na kwenda omba msaada kwa hawa wa Madr/Maprof wa kienyeji.

Tutafanya nini km prof kapata Vyeti kwa kuwa kada wa chama, km prof somo la logic alikuwa akijiandikia tuu T/F na kusema somo rahisi sana km wale waumini wenzani ambao huwa wanasali sala fulani bila walizokariri huku wakiangalia TV bila kuweka fikra?Tutafanya nini sasa km prof miaka yote anatunga mitihani haijibiki halafu anachagua watu wangapi wafaulu , nani ampe marks bure, nani ampe za rushwa,nani ampe marks ili apande mbegu baadae aje pewa post za kisiasa. tifanyaje km hawa ndio wasomi wetu wanaodhani kumfelisha watu kunawafanya waonekane walisoma na wanafundisha somo gumu sana na wao tuu ndio wanaliweza?

Hawa ndio watu wenye haki miliki ya upuuzi wa propaganda za kijamaa, na vsingizio vyote vya kuelezea kwanini hawafanikiwi huku wakijificha nyuma ya vyeti na taasisi za serikali.Na hii ni ktk mahospital na vyuo vya serikali. Wanataamula hayo maeneo hawajawekewa kipimo cha kuaminika.Yaani cheque yao ni blank.

Hawa ndio wasomi wasiogopa hasara kwa nchi, na walishazoea kuanzia ktk vyuo .Huko waliweka upuuzi wao mbele kuliko hasara kwa umma na kulinyima taifa wasomi wa kutosha na wenye weledi.Hawa ndio wasomi wanaoweza endesha propaganda km za wachezaji wa simba na yanga ktk vyombo ya habari na vyombo vya dola vilivyojaa wanafunzi wao wenye akili km zao.

Hao ndio wasomi ambao wanakubali kwamba mwalimu wao wa shule ya msingi wamempita ila hawana uwezo wa kujua nao pia wanaweza kupitwa na wameshapitwa na wanafunzi wao mbao walisoma LOGIC vyema.Hata km walipewa marks ndogo na hawa wasomi wenye magenge ya kuvizia ofa za kisiasa ktk vyuo vyetu vya serikali. Ndio hao wanajikuta mikononi kwa wanafunzi waliowapita km wao walivyowapita walimu wao wa msingi.Wanafunzi km akina Tundu Lissu.

Tufanye nini zaidi ya kufumua vyuo vyetu vya umma na mahospital. Km tuna wasomi wanaoweza KUTUAMBIA TUSUBIRI KUONA MATOKEO KWANZA badala ya kuja na risk analysis ya uhakika na sio maigizo na report za kupika km tulizozoea ktk nchi hii.Report nyingi za nchi hii ni riwaya dhidi ya vitu vya wazi.Kwa raia walioporwa logic ,obvious thing inaweza onekana ni ubashiri mkubwa.Kitu ambacho hata waganga wa kienyeji ndicho huwa wanafanya.Siwezi shangaa ktk nchi yenye record mbaya ya ushirikina km sisi.Hata ndugu zetu wenye vipara, na ulemavu wa ngozi wanaweza thibitisha hili.Nchi yetu si ajabu kumkuta Dr msomi akienda tibiwa kwa mganga wa kienyeji dalili za malaria badala ya kupima damu yake.

Ni hawa hawa wasomi waliogeuza vyuo vyetu kuwa viwanda vya wasomi wenye kujilinda kwa propaganda na ushabiki km wachezaji wa uswahilini. Ni kawaida sana washabiki wahuni km wa Abajalo kuingia na wachezaji wao uwanjani kwa nguvu asizoweza kuzuia kocha wa timu. Sasa hivi ni kawaida sana kwa Tanzania ya CCM na wanasiasa vibaraka wao.HAwana viwango km wanavyojaza media zetu na uozo.

Tamko la Dangote limefumua siri ktk sheria za haraka haraka za madini.Ile sheria ilepelekwa fasta km ilivyo rahisi kwa wana ccm kutoa matamko tuu hata kwa vitu wasivyojua. Sasa tunaona jamaa wanavyoto amatamko ktk mali za watu, uwekezaji wa watu.wawekezaji wenye mitaji ambayo hatuna.NI wazi walitumia akili zaidi ya hawa wapiga propaganda wa africa wakijidai wakombozi kumbe ndio wafilisi wa Africa. Sasa km wenzao walikuwa na akili kubwa na tabia njea za kupata mitaji,iweje wasiojua chochote,watu ambao Mengi aliwauliza km walishawahi hata kuwa na duka lenye manufaa.Hawakuwa na majibu,ndio waanze pangia watu?Kwanza wasichojua wababaishajjiw a kitanzania ni kwamba.Duniani kuna nchi kibao zenye dhahabu kuliko sisi, uchina, marekani,urusi etc wana nyingi kuliko sisi..


Ningeshauri sasa iwe Prof. Kabudi na Makinikia yake wawe wa mwisho. Sasa ni kufumua vyuo vya serikali, media za serikali, hospital za serikali. Kisha wizara. Watu wenye kupigiana debe, haswa walimu wa vyuo ambao wana wanafunzi wao vilaza ktk taasisi za umma ni kufumua tuu .Wana ushawishi sana, na kuna cycle ya kulipana fadhila vibaya kiasi cha kufanya watu kuishi kw anetwork kuliko weledi.


Tanzania ilipofikia unaweza pata ugonjwa wa moyo, unapoamua kuangalia kwa makini wasomi wetu.Haichukui muda visingio vinakuwa vingi, mipango yao mingi haina uhasilia. Tupo ktk hali mbaya sana. Wasomi wengi hawafai huko vyuoni na hawafai mitaani na hawafai ktk serikali. Wao ndio wanatoa elimu mbaya.Kisha wanatumia nguvu nyingi kuficha madhara mitaani, kwa kwenda kupoteza ushahidi kila wanapopewa nafasi za kuwa ktk wizara au kuwa washauri ktk taasisi mbali mbali.

Baada ya akina Mkumbo, Muhongo, sidhani km kuna mbaye alikuwa celebrated km prof Kabudi na makinikia yake.Wanatuambia tusubiri tuone nini?Sasa tumeona. Waadhibiwe na walipe wao. Km professor hawezi anabisha kuwa mawingu haya sio ya mvua anakomaa ttuache unga nje, ukinyeshewa basi asile na alipe unga.

Hawa waomi wa kitanzania WAPOO SO MUCH DISHONEST kiasi cha kuwafanya hata ktk mijadala siku hizi hawajiandai km ilivyo kwa wabunge na mawaziri wa ccm.Huwa wanakuja na hoja nyepesi kisha wanapima upepo km upande wa pili upo superior kiasi cha kuwashinda hawa jamaa kuuza upuuzi wao,huwa wana switch side na kuanza jidai wapo neutral au wana wazo moja ila lugha tofauti. wapo neutral ktk kila kitu.Na ni wezi wa kila aina ,wamefikia mahali hawana kitu halisi wanajua au upande wanaosimamia.Utawasikia kila mara wakidai majadiliano.Ndio njia nyepesi kujificha.Hawa wasomi hawaheshimu sana kazi za watu wala mipaka ya kijamaa, huwa wanachukua tuu misamiati ya kibepari na kuitumia vibaya. Ndio CV zao zimejaa kila msamiati hata mingine inapingana.Utajikuta wakijibandika Title za ajabu ajabu ili wapate nafasi ya kuongea ktk media ktk kupotosha watu.Wana version ya kuongelea mapungufu ya democrasia ya marekani na version ya kuongea ukomavu wa kidemocrasia nchini chini ya CCM.
 
sukumiza wasomi wasanii wa hii nchi hadi mwisho wa uwezo wao. Kawaleta wengi na wamechemsha ktk kipindi kifupi. Tulizoea kuambiwa kuwa huko nje wakishindwa ni chuki za watu wasioitakia nchi mema,ni ubaguzi. Tulizoea kuambiwa kwamba elimu yetu ipo juu sana.Tuliambiwa mengi yaliyowapa kiburi wasomi wetu.Tuliambiwa mengi sana ,ila kwa vile hakuna tofauti sana ya ma Prof/Dr. . wa jadi na waliopitia ktk mfumo wa kizungu ktk nchi hii. Wote wanavimbishiana vifua mitaani. Na mara nyingine hata hawa Mfumo wa kizungu wenye asili ya Tanzania huwa wananyoosha mikono na kwenda omba msaada kwa hawa wa Madr/Maprof wa kienyeji.

Tutafanya nini km prof kapata Vyeti kwa kuwa kada wa chama, km prof somo la logic alikuwa akijiandikia tuu T/F na kusema somo rahisi sana km wale waumini wenzani ambao huwa wanasali sala fulani bila walizokariri huku wakiangalia TV bila kuweka fikra?Tutafanya nini sasa km prof miaka yote anatunga mitihani haijibiki halafu anachagua watu wangapi wafaulu , nani ampe marks bure, nani ampe za rushwa,nani ampe marks ili apande mbegu baadae aje pewa post za kisiasa. tifanyaje km hawa ndio wasomi wetu wanaodhani kumfelisha watu kunawafanya waonekane walisoma na wanafundisha somo gumu sana na wao tuu ndio wanaliweza?

Hawa ndio watu wenye haki miliki ya upuuzi wa propaganda za kijamaa, na vsingizio vyote vya kuelezea kwanini hawafanikiwi huku wakijificha nyuma ya vyeti na taasisi za serikali.Na hii ni ktk mahospital na vyuo vya serikali. Wanataamula hayo maeneo hawajawekewa kipimo cha kuaminika.Yaani cheque yao ni blank.

Hawa ndio wasomi wasiogopa hasara kwa nchi, na walishazoea kuanzia ktk vyuo .Huko waliweka upuuzi wao mbele kuliko hasara kwa umma na kulinyima taifa wasomi wa kutosha na wenye weledi.Hawa ndio wasomi wanaoweza endesha propaganda km za wachezaji wa simba na yanga ktk vyombo ya habari na vyombo vya dola vilivyojaa wanafunzi wao wenye akili km zao.

Hao ndio wasomi ambao wanakubali kwamba mwalimu wao wa shule ya msingi wamempita ila hawana uwezo wa kujua nao pia wanaweza kupitwa na wameshapitwa na wanafunzi wao mbao walisoma LOGIC vyema.Hata km walipewa marks ndogo na hawa wasomi wenye magenge ya kuvizia ofa za kisiasa ktk vyuo vyetu vya serikali. Ndio hao wanajikuta mikononi kwa wanafunzi waliowapita km wao walivyowapita walimu wao wa msingi.Wanafunzi km akina Tundu Lissu.

Tufanye nini zaidi ya kufumua vyuo vyetu vya umma na mahospital. Km tuna wasomi wanaoweza KUTUAMBIA TUSUBIRI KUONA MATOKEO KWANZA badala ya kuja na risk analysis ya uhakika na sio maigizo na report za kupika km tulizozoea ktk nchi hii.Report nyingi za nchi hii ni riwaya dhidi ya vitu vya wazi.Kwa raia walioporwa logic ,obvious thing inaweza onekana ni ubashiri mkubwa.Kitu ambacho hata waganga wa kienyeji ndicho huwa wanafanya.Siwezi shangaa ktk nchi yenye record mbaya ya ushirikina km sisi.Hata ndugu zetu wenye vipara, na ulemavu wa ngozi wanaweza thibitisha hili.Nchi yetu si ajabu kumkuta Dr msomi akienda tibiwa kwa mganga wa kienyeji dalili za malaria badala ya kupima damu yake.

Ni hawa hawa wasomi waliogeuza vyuo vyetu kuwa viwanda vya wasomi wenye kujilinda kwa propaganda na ushabiki km wachezaji wa uswahilini. Ni kawaida sana washabiki wahuni km wa Abajalo kuingia na wachezaji wao uwanjani kwa nguvu asizoweza kuzuia kocha wa timu. Sasa hivi ni kawaida sana kwa Tanzania ya CCM na wanasiasa vibaraka wao.HAwana viwango km wanavyojaza media zetu na uozo.


Ningeshauri sasa iwe Prof. Kabudi na Makinikia yake wawe wa mwisho. Sasa ni kufumua vyuo vya serikali, media za serikali, hospital za serikali. Kisha wizara. Watu wenye kupigiana debe, haswa walimu wa vyuo ambao wana wanafunzi wao vilaza ktk taasisi za umma ni kufumua tuu .Wana ushawishi sana, na kuna cycle ya kulipana fadhila vibaya kiasi cha kufanya watu kuishi kw anetwork kuliko weledi.


Tanzania ilipofikia unaweza pata ugonjwa wa moyo, unapoamua kuangalia kwa makini wasomi wetu.Haichukui muda visingio vinakuwa vingi, mipango yao mingi haina uhasilia. Tupo ktk hali mbaya sana. Wasomi wengi hawafai huko vyuoni na hawafai mitaani na hawafai ktk serikali. Wao ndio wanatoa elimu mbaya.Kisha wanatumia nguvu nyingi kuficha madhara mitaani, kwa kwenda kupoteza ushahidi kila wanapopewa nafasi za kuwa ktk wizara au kuwa washauri ktk taasisi mbali mbali.

Baada ya akina Mkumbo, Muhongo, sidhani km kuna mbaye alikuwa celebrated km prof Kabudi na makinikia yake.Wanatuambia tusubiri tuone nini?Sasa tumeona. Waadhibiwe na walipe wao. Km professor hawezi anabisha kuwa mawingu haya sio ya mvua anakomaa ttuache unga nje, ukinyeshewa basi asile na alipe unga.

Binafsi sijakuelewa ulichokusudia kutueleza umeandika hadithi ndefu lakini haina maana nadhani na wewe ni zao la hivyo vyuo vibovu haueleweki. Ulikusudia kueleza tatizo la wasomi au mazungumzo ya makinikia?
 
BINAFSI SIJAKUELEWA ULICHOKUSUDIA KUTUELEZA UMEANDIKA HADITHI NDEFU LAKINI HAINA MAANA NADHANI NA WEWE NI ZAO LA HIVYO VYUO VIBOVU HAUELEWEKI. ULIKUSUDIA KUELEZA TATIZO LA WASOMI AU MAZUNGUMZO YA MAKINIKIA?

Inatosha , hata km upo ktk kiwanda cha vyerehani 4 au cha uongo pale Lumumba, bado utakachosema kinaweza kuwa jibu pamoja kwamba hujielewi. umesema KEYWORD sahihi VYUO VIBOVU.

Hao jamaa nao huwa wanapenda jitambulisha km wewe, kuwa wengine hawaeleweki, sijui mwanafunzi wangu kwa akimaanisha hawezi kupita km ulivyompita mwalimu wako wa shule ya msingi, sijui ngoja nikuelimishe, sijui wewe hujui, mimi ndie najua, na km wewe ndio wa bongo basi UTAANZA NA KUSEMA UNAIJUA DAR TANGU IKIITWA MZIZIMA kwa hiyo uachiwe uongee tuu uchafu bila kuhojiwa hata km ni hasara ya miaka na uhai ktk nchi.
 
Inatosha , hata km upo ktk kiwanda cha vyerehani 4 au cha uongo pale Lumumba, bado utakachosema kinaweza kuwa jibu pamoja kwamba hujielewi. umesema KEYWORD sahihi VYUO VIBOVU. Hao jamaa nao huwa wanapenda jitambulisha km wewe, kuwa wengine hawaeleweki, sijui mwanafunzi wangu kwa akimaanisha hawezi kupita km ulivyompita mwalimu wako wa shule ya msingi, sijui ngoja nikuelimishe, sijui wewe hujui, mimi ndie najua, na km wewe ndio wa bongo basi UTAANZA NA KUSEMA UNAIJUA DAR TANGU IKIITWA MZIZIMA kwa hiyo uachiwe uongee tuu uchafu bila kuhojiwa hata km ni hasara ya miaka na uhai ktk nchi.
POINT TO STICK IS ...............?????
 
Inferiority complex uliyonayo isiwe sababu ya kuwananga wasomi wetu.

Mmeshiba fedha za kifisadi sasa mnajidai mmepass maisha.

Magufuli tunyooshee hawa vyeti feki warudi mtaani.
 
Napenda kumshukuru tena Rais kwa kuwasukumiza wasomi wasanii wa hii nchi hadi mwisho wa uwezo wao. Kawaleta wengi na wamechemsha ktk kipindi kifupi. Sasa mjadala utakuwa rais sana ,linapokuja swali km elimu inayotolewa ktk vyuo vyetu ina viwango na ni sahihi .Tulizoea kuambiwa kuwa huko nje wakishindwa ni chuki za watu wasioitakia nchi mema,ni ubaguzi. Tulizoea kuambiwa kwamba elimu yetu ipo juu sana.Tuliambiwa mengi yaliyowapa kiburi wasomi wetu.Tuliambiwa mengi sana ,ila kwa vile hakuna tofauti sana ya ma Prof/Dr. . wa jadi na waliopitia ktk mfumo wa kizungu ktk nchi hii. Wote wanavimbishiana vifua mitaani. Na mara nyingine hata hawa Mfumo wa kizungu wenye asili ya Tanzania huwa wananyoosha mikono na kwenda omba msaada kwa hawa wa Madr/Maprof wa kienyeji.

Tutafanya nini km prof kapata Vyeti kwa kuwa kada wa chama, km prof somo la logic alikuwa akijiandikia tuu T/F na kusema somo rahisi sana km wale waumini wenzani ambao huwa wanasali sala fulani bila walizokariri huku wakiangalia TV bila kuweka fikra?Tutafanya nini sasa km prof miaka yote anatunga mitihani haijibiki halafu anachagua watu wangapi wafaulu , nani ampe marks bure, nani ampe za rushwa,nani ampe marks ili apande mbegu baadae aje pewa post za kisiasa. tifanyaje km hawa ndio wasomi wetu wanaodhani kumfelisha watu kunawafanya waonekane walisoma na wanafundisha somo gumu sana na wao tuu ndio wanaliweza?

Hawa ndio watu wenye haki miliki ya upuuzi wa propaganda za kijamaa, na vsingizio vyote vya kuelezea kwanini hawafanikiwi huku wakijificha nyuma ya vyeti na taasisi za serikali.Na hii ni ktk mahospital na vyuo vya serikali. Wanataamula hayo maeneo hawajawekewa kipimo cha kuaminika.Yaani cheque yao ni blank.

Hawa ndio wasomi wasiogopa hasara kwa nchi, na walishazoea kuanzia ktk vyuo .Huko waliweka upuuzi wao mbele kuliko hasara kwa umma na kulinyima taifa wasomi wa kutosha na wenye weledi.Hawa ndio wasomi wanaoweza endesha propaganda km za wachezaji wa simba na yanga ktk vyombo ya habari na vyombo vya dola vilivyojaa wanafunzi wao wenye akili km zao.

Hao ndio wasomi ambao wanakubali kwamba mwalimu wao wa shule ya msingi wamempita ila hawana uwezo wa kujua nao pia wanaweza kupitwa na wameshapitwa na wanafunzi wao mbao walisoma LOGIC vyema.Hata km walipewa marks ndogo na hawa wasomi wenye magenge ya kuvizia ofa za kisiasa ktk vyuo vyetu vya serikali. Ndio hao wanajikuta mikononi kwa wanafunzi waliowapita km wao walivyowapita walimu wao wa msingi.Wanafunzi km akina Tundu Lissu.

Tufanye nini zaidi ya kufumua vyuo vyetu vya umma na mahospital. Km tuna wasomi wanaoweza KUTUAMBIA TUSUBIRI KUONA MATOKEO KWANZA badala ya kuja na risk analysis ya uhakika na sio maigizo na report za kupika km tulizozoea ktk nchi hii.Report nyingi za nchi hii ni riwaya dhidi ya vitu vya wazi.Kwa raia walioporwa logic ,obvious thing inaweza onekana ni ubashiri mkubwa.Kitu ambacho hata waganga wa kienyeji ndicho huwa wanafanya.Siwezi shangaa ktk nchi yenye record mbaya ya ushirikina km sisi.Hata ndugu zetu wenye vipara, na ulemavu wa ngozi wanaweza thibitisha hili.Nchi yetu si ajabu kumkuta Dr msomi akienda tibiwa kwa mganga wa kienyeji dalili za malaria badala ya kupima damu yake.

Ni hawa hawa wasomi waliogeuza vyuo vyetu kuwa viwanda vya wasomi wenye kujilinda kwa propaganda na ushabiki km wachezaji wa uswahilini. Ni kawaida sana washabiki wahuni km wa Abajalo kuingia na wachezaji wao uwanjani kwa nguvu asizoweza kuzuia kocha wa timu. Sasa hivi ni kawaida sana kwa Tanzania ya CCM na wanasiasa vibaraka wao.HAwana viwango km wanavyojaza media zetu na uozo.


Ningeshauri sasa iwe Prof. Kabudi na Makinikia yake wawe wa mwisho. Sasa ni kufumua vyuo vya serikali, media za serikali, hospital za serikali. Kisha wizara. Watu wenye kupigiana debe, haswa walimu wa vyuo ambao wana wanafunzi wao vilaza ktk taasisi za umma ni kufumua tuu .Wana ushawishi sana, na kuna cycle ya kulipana fadhila vibaya kiasi cha kufanya watu kuishi kw anetwork kuliko weledi.


Tanzania ilipofikia unaweza pata ugonjwa wa moyo, unapoamua kuangalia kwa makini wasomi wetu.Haichukui muda visingio vinakuwa vingi, mipango yao mingi haina uhasilia. Tupo ktk hali mbaya sana. Wasomi wengi hawafai huko vyuoni na hawafai mitaani na hawafai ktk serikali. Wao ndio wanatoa elimu mbaya.Kisha wanatumia nguvu nyingi kuficha madhara mitaani, kwa kwenda kupoteza ushahidi kila wanapopewa nafasi za kuwa ktk wizara au kuwa washauri ktk taasisi mbali mbali.

Baada ya akina Mkumbo, Muhongo, sidhani km kuna mbaye alikuwa celebrated km prof Kabudi na makinikia yake.Wanatuambia tusubiri tuone nini?Sasa tumeona. Waadhibiwe na walipe wao. Km professor hawezi anabisha kuwa mawingu haya sio ya mvua anakomaa ttuache unga nje, ukinyeshewa basi asile na alipe unga.
Andiko refu na halina sifa ka mwandishi Ana CRITICAL THINKING SKILLS

posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
 
BINAFSI SIJAKUELEWA ULICHOKUSUDIA KUTUELEZA UMEANDIKA HADITHI NDEFU LAKINI HAINA MAANA NADHANI NA WEWE NI ZAO LA HIVYO VYUO VIBOVU HAUELEWEKI. ULIKUSUDIA KUELEZA TATIZO LA WASOMI AU MAZUNGUMZO YA MAKINIKIA?
Kama hujaelewa kilichokusudiwa, nina mashaka kama wewe ulipata hata nafasi ya kufundishwa na hao maprofesa wajinga wanaoona ufahari kufelisha wanafunzi wao.
 
Inferiority complex uliyonayo isiwe sababu ya kuwananga wasomi wetu.

Mmeshiba fedha za kifisadi sasa mnajidai mmepass maisha.

Magufuli tunyooshee hawa vyeti feki warudi mtaani.
Magufuli ameandika machapisho mangapi kwenye journal za kimataifa? Nauliza kwamaana yeye ni Dr!!

Pia tunajua akina mandela, nyerere, obama, trump na wengine kama hao waliandika vitabu kuhusu maswala mbali mbali ya uchumi na kijamii!! je magufulia ameandika vitabu mpaka sasa?
 
Tuna orodha ya maprofesa na madaktari wa ajabu sana nchi hii. Sisi tunaotamani kufikia elimu walionayo tunakatishwa Tamaa kabisa.Yaani profesa/daktari ana argue kama layman.Wafuatao wanakatisha Tamaa juu ya mustakabali ya elimu yet;

1.dk Mwakyembe na issue ya serikal I tatu,utendaji kama waziri Wa katiba

2.Prof Lipumba na issue yake paleCUF

3. Prof Mruma na ripoti yake ya ajabu ya makenikia

4 .prof Muongo na issue yake ya escrow,iptl

5.Prof Kabudi na issue yake ya makenikia na utawala Wa she ria nchini

6.Prof Mkumbo na issue yake ya kutumika kisiasa na Magufuli
Orodha ni ndefu wengine ongezea we we unaesoma maoni haya
 
Kama hujaelewa kilichokusudiwa, nina mashaka kama wewe ulipata hata nafasi ya kufundishwa na hao maprofesa wajinga wanaoona ufahari kufelisha wanafunzi wao.


Mkuu tusianze kugeuza hoja kuu kama faraja ya waliofeli kwa matatizo yao kulipia kisasi kwa waalimu wao. Nadhani mleta mada hakukusudia hivyo.

This should not be a revenge, neither a consolation for sore losers.Bali hii hoja iwazungumzie waliofelishwa kwa makosa ya waalimu wao walio kariri ukiritimba na urasimu ktk kuwapatia elimu vijana.

Tuache tabia ya "sizitaki mbichi hizi" kumbe umeshindwa kuzipata kwa udhaifu wako. Sio kama tulifeli kwa ukilaza wetu basi tuone wote waliofaulu wamebebwa na ni adui zetu hio sio sawa na sidhani kama Nicholas alikusudia hivyo.
 
BINAFSI SIJAKUELEWA ULICHOKUSUDIA KUTUELEZA UMEANDIKA HADITHI NDEFU LAKINI HAINA MAANA NADHANI NA WEWE NI ZAO LA HIVYO VYUO VIBOVU HAUELEWEKI. ULIKUSUDIA KUELEZA TATIZO LA WASOMI AU MAZUNGUMZO YA MAKINIKIA?
Kaandika vitu vingi afu pumba.kila nikisoma sielewi nini anamaanisha. Kuna safari kama huyu naye eti CRITICAL THINKER

posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
 
Back
Top Bottom