Prof. Joyce Ndalichako, mwanamke wa shoka anayefaa kuwa waziri Mkuu

Prof. Joyce Ndalichako, mwanamke wa shoka anayefaa kuwa waziri Mkuu

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
3,117
Reaction score
5,321
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
Amenyook sana too bad hawatampa sababu ya character yake
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu


Hapa mtamwaribia. Ndalichako siasa za kipuuzi hawezi na hiyo misimamo yake ndo tatizo. Huu uzi ni kama umeanzisha asije pewa hiyo nafasi
 
Kila anayejinasibisha na serikali hii tutashughulika naye tutakapoliamsha tena.
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
Na mimi nipendekeze basi ili niwe Mkuu wa itifaki pale Chamwino.
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
Taifa linawahitaji wazalendo wa taifa na kamwe sii wazalendo wa mafisadi ,ama wazalendo tumbo au wazalendo chawa.Hivyo tukumbuke kufanya makosa na kuyarudia gharama yake,haina msamaha,pengine popote katika maisha hata pengine hata baada!
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
Akikosa uwaziri mkuu apewe uwaziri wa elimu.
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
Anaweza kuwa kweli anafaa,ila kuna siku nilisikiliza kiingereza chake aisee nilicheka sana. Japo lugha haina uhusiano na utendaji wa mtu
 
Hizo k hazifai kuongoza hii nchi kula kuleni mtakavyo ila sio kwenye uongozi fashisti samuya kawaonyesha kuwa wanawake ni malofa na mafala wa ovyo ktk uongozi wa nafasi nyeti
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
Wasalimie ujiji
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
Kwa huu uchaguzi wa wizi hakuna mwenye uadilifu hata mmoja , anayefaa ni yule atakayeomba radhi kwa watanzania

Unakemeaje rushwa na wizi wakati ndo umekupa hiyo nafasi
 
Natamani sana waziri Mkuu awe mwanamke tena mwanamke chuma kweli ,mwanamke wa shoka mwenye uwezo mkubwa wa kiutendaji na hapa ndio naliona jina la Prof. Joyce Ndalichako anafaa kwenye nafasi hiyo.

Mhe. Rais ,tafadhali mteue Prof. Ndalichako kama waziri Mkuu kwenye Serikali yako ili akusaidie kwenye ujenzi wa Tanzania imara na yenye nguvu na itakayovuka malengo ya ilani ya CCM ya uchaguzi Mkuu uliyoinadi nchi nzima kwa jasho na damu.

Kwa nini Prof.Joyce Ndalichako?
1. Uzoefu mkubwa :
Prof. Joyce Ndalichako ana uzoefu mkubwa mno kwenye utendaji Serikalini na anafahamu mifumo inavyofanya KAZI

2. Utendaji mzuri: katika watu wenye wasifu mzuri wa uchapakazi na utendaji mzuri , Prof. Ndalichako namuweka kwenye kundi hilo.

3. Misimamo isiyotumba: misimamo yake isiyotumba ndio inafanya nimuweke kwenye kundi la wanawake wa shoka na misimamo isiyotumba katika nchi hii. Hivyo ninaamini atafaa kwenye uwaziri Mkuu

4. Msomi mahiri: elimu yake itasaidia kufanya utambuzi na utatuzi wa haraka wa changamoto na kero za wananchi na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa Baraza lako.

5. Anajiamini sana : Prof. Ndalichako anajiamini na sio mtu wa kuyumbishwa katika maamuzi yake. Ninaamini kwa sifa hii atafaa kuwa waziri Mkuu.

6. Hana skendo ya ufisadi wala rushwa: Prof.Ndalichako hajawahi kupata kashfa ya ufisadi au rushwa katika kipindi chote Cha utumishi wake na atakuwa msaada katika kuwajibisha wezi na mafisadi wa mali za umma .

Ninaamini kwa sifa hizo na nyingine alizonazo Prof . Ndalichako anabaki kuwa mtu sahihi kwenye uwaziri Mkuu
Una matatizo wewe
 
Back
Top Bottom