Prof. J na Nick wa II wampinga Mwakyembe

Prof. J na Nick wa II wampinga Mwakyembe

Jamani huyu mzee ni MGONJWA hakuna taarifa rasmi za daktari kwamba ALIPONA ni kiherehere chake tu.
Hawa ndio wanamfanya hata Mh.KAIRUKI kuja na wazo la kutoajiri above thirty(30) maana hawa watu ndio mwisho wao wanakuwa kama huyu waziri.....bendera fuata upepo!
 
Kwa mambo anayofanya mtu akikuambia mwakyembe ni mnyakyusa unaweza ukabisha.

Kwa kweli anawaibisha wanyakyusa. Nafikiri atakua mmalawi huyu. Nina mashaka naye.

Ila nawaonea huruma wana ccm. Maana hata kumtetea huyu wameshindwa. Jaman kuwatetea viongiz wa ccm ni kaz ngumu sana .polen sana wana ccm naona mnawaza namna ya hili lipite
 
Kwa kweli anawaibisha wanyakyusa. Nafikiri atakua mmalawi huyu. Nina mashaka naye.

Ila nawaonea huruma wana ccm. Maana hata kumtetea huyu wameshindwa. Jaman kuwatetea viongiz wa ccm ni kaz ngumu sana .polen sana wana ccm naona mnawaza namna ya hili lipite
Unamaanisha
Kwa kweli anawaibisha wanyakyusa. Nafikiri atakua mmalawi huyu. Nina mashaka naye.

Ila nawaonea huruma wana ccm. Maana hata kumtetea huyu wameshindwa. Jaman kuwatetea viongiz wa ccm ni kaz ngumu sana .polen sana wana ccm naona mnawaza namna ya hili lipite
Unamaanisha MNYASA?!!!
 
Harrison anaforce kuijua sanaa bahati mbaya hajafanikiwa kuijua sanaa ila sanaa imefanikiwa kumjua yeye ndo maana inamfinika!
Mwakyembe ni mtu wa hivi hivi, nendeni Kyela watawaambia.
 
Back
Top Bottom