Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Nilikuwa nasikiliza tbc fm mchana leo mara wakapiga kibao cha prof j cha "ndiyo mzee" nikaanza kukumbuka kipindi cha kampen jk alivyokuwa anarap ahadi mf. Nitajenga machinga complex kila wilaya kwenye majiji, kuweka tanga kuwa kitovu cha biashara east and central africa, kujenga viwanja vya ndege kwa level ya kimataifa n.k. Kwa kweli prof j aliongea na kutuonyesha namna wanasiasa wanavyodanganya ila hatukumsoma prof j. Next time inabid wakati wa kampen vyombo vya habari viupige sana wimbo huu pengine watz watapata uelewa kidogo. Naomba kuwakilisha.