Prof. Issah Shivji: Bosi wa CAG ni Katiba, Ndugai anapotoka

Kila mwananchi boss wake ni katiba kwa sababu ndani ya katiba ndio tunapata sheria ambazo zinatufanya tuzifuate na kushindwa kuzifuata unajikuta ndani ya kuta za magereza, kupoteza mali au kazi.

Hata sheria zikienda kinyume na boss wa sheria ambaye ni katiba, zitakuwa hazifai na inabidi zibadilishwe au zifutwe.

Ieleweke kuwa nchi ina mihimili mitatu ya dola na kila taasisi/mfanyakazi katika sekta ya umma lazima awe ndani ya muhimili mmojawapo kati ya hiyo mitatu.

Hoja ya msingi CAG kama taaasisi/mfanyakazi wa sekta ya umma anaangukia kwenye muhimili upi wa dola?
Mihimili mitatu inatoka wapi wakati Jaji mkuu anateuliwa na Rais......Naye Spika wa bunge anapatikana baada ya kamati kuu ya CCM ambayo Mwenyekiti wake ni Rais wa JMT kuupitisha jina lake. Ni kama vile wakuu wa mihimili miwili unayoiongezea wanateuliwa na Rais!
 
CAG, CJ, AJ. These are a Constitutional post. Hapo utaona kila mmoja yupo kwa mujibu wa katiba na ana muhimili wake.
CAG muhimili wake ni serikali kuu.
CJ na AJ ni Mahakama then
SPIKA wa Bunge muhimili wake ni BUNGE.
kwa maana hiyo CAG yupo kwa mujibu wa katiba ya nchi na nafasi yake ipo kisheria ikiratibiwa au kuwajibika katika Serikali Kuu. Na kiongozi wa serikali kuu ni Raisi mwenyewe na ndio anawajibu wa kumteua CAG na pale tu akitaka kumuondoa CAG kwa kosa lolote lile Raisi atawajibika kuunda Tume ya kuchunguza makosa ya CAG na Tume ndio yenye final say kwa Raisi either amuondoe au abakie.sawa sawa na nafasi ya Waziri mkuu Anateuliwa na Raisi lakini Bunge linampitisha kwa kumpigia kula ya Ndio au Hapana Raisi akitaka kumuondoa vivyo hivyo atarudi kwa Bunge na hii ni kwa mujibu wa Katiba ya JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mwananchi boss wake ni katiba kwa sababu ndani ya katiba ndio tunapata sheria ambazo zinatufanya tuzifuate na kushindwa kuzifuata unajikuta ndani ya kuta za magereza, kupoteza mali au kazi.

Hata sheria zikienda kinyume na boss wa sheria ambaye ni katiba, zitakuwa hazifai na inabidi zibadilishwe au zifutwe.

Ieleweke kuwa nchi ina mihimili mitatu ya dola na kila taasisi/mfanyakazi katika sekta ya umma lazima awe ndani ya muhimili mmojawapo kati ya hiyo mitatu.

Hoja ya msingi CAG kama taaasisi/mfanyakazi wa sekta ya umma anaangukia kwenye muhimili upi wa dola?
Well said!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"HANA BOSI. BOSI WAKE NI KATIBA"

Ushasema hana bosi, anakuwaje na bosi katiba tena?

Hawa ndio wanazuoni wanaofundisha vijana wetu logic pale University of Dar-es-Salaam.

Na UD ndio moja ya vyuo vikali Afrika.

Halafu unajiuliza kwa nini weusi akili zetu zimedumaa?
 
Spika ana upeo mdogo sana. Bado hajui wajibu wake(anataka kufanya kazi za serikali), hajui mipaka yake(anadhania kuwa spika ni kuwa juu ya watu wengine) na hajui haki za watu wengine(analazimisha kuingilia haki za watu wengine).

Binafsi huwa ninamuonaga kama mtu fulani hivi wa ovyo ovyo.
Upo sahihi 100%
 
Kila mwananchi boss wake ni katiba kwa sababu ndani ya katiba ndio tunapata sheria ambazo zinatufanya tuzifuate na kushindwa kuzifuata unajikuta ndani ya kuta za magereza, kupoteza mali au kazi.

Hata sheria zikienda kinyume na boss wa sheria ambaye ni katiba, zitakuwa hazifai na inabidi zibadilishwe au zifutwe.

Ieleweke kuwa nchi ina mihimili mitatu ya dola na kila taasisi/mfanyakazi katika sekta ya umma lazima awe ndani ya muhimili mmojawapo kati ya hiyo mitatu.

Hoja ya msingi CAG kama taaasisi/mfanyakazi wa sekta ya umma anaangukia kwenye muhimili upi wa dola?
Unajitahidi kupotosha. Hongera!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuandika JF au twitter tena ukiwa umejifungia ndani uko pekee yako sio kazi, kazi ukiitwa Ikulu au wakikusogezea mic utoe maoni yako kuhusu sakata la CAG na Spika!!! Akawaulize mawaziri wakuu na marais wastaafu hususani EL na Sumaye pamoja na kuwa wapinzani walisema nini walipopata mwaliko Ikulu!!!!
 
Professor amenikumbusha research yangu undergraduate niliyofanya juu ya checks and balance in the Constitution of URT, 1977. Nafasi ya CAG ni sehemu mhimu katika kudhibitiana. Siyo tu bunge, mahakama na serikali kudhibitiana Ni pamoja Na CAG kuwathibiti hao wote kama kweli tunataka supremacy au sovereignty of the people as per our Constitution.
 
Ieleweke kuwa nchi ina mihimili mitatu ya dola na kila taasisi/mfanyakazi katika sekta ya umma lazima awe ndani ya muhimili mmojawapo kati ya hiyo mitatu.
Hee! hivi bado kuna wenzetu wanaoamini nchi ina mihimili mitatu!! badala ya ''executive yenye branch'' zake mbili na taasisi nyingine!

JokaKuu
 
Kila mwananchi boss wake ni katiba kwa sababu ndani ya katiba ndio tunapata sheria ambazo zinatufanya tuzifuate na kushindwa kuzifuata unajikuta ndani ya kuta za magereza, kupoteza mali au kazi.

Hata sheria zikienda kinyume na boss wa sheria ambaye ni katiba, zitakuwa hazifai na inabidi zibadilishwe au zifutwe.

Ieleweke kuwa nchi ina mihimili mitatu ya dola na kila taasisi/mfanyakazi katika sekta ya umma lazima awe ndani ya muhimili mmojawapo kati ya hiyo mitatu.

Hoja ya msingi CAG kama taaasisi/mfanyakazi wa sekta ya umma anaangukia kwenye muhimili upi wa dola?
Mda mwingine huwa naona tuna maprof koko,Yaani concept ndogo tu ya nani bosi wa CAG Hajui?Hivi kuna Mhimili unaitwa katiba?Unaulizwa Boss wa CAG ni nani unasema NI KATIBA?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Our starting point is this: WHO APPRAISES CAG? Kuna mfumo wa kupima utendaji wa watumishi wa serikali, OPRAS, nani anampima CAG. Nadhani hii inaweza kutupa mwanga boss wa CAG ni nani! To me I concur with Shivji, boss wa CAG ni Katiba.


UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

OPEN PERFORMANCE REVIEW AND APPRAISAL FORM (To be filled in Triplicate)

From: July … …. to June … ……….

This Form replaces all other appraisal forms in the Public Service Institutions. It is intended to meet the requirements of the performance management system and development process.

NOTES ON HOW TO FILL THIS FORM:

1. This Form must be filled by all employees in the Public Service Institutions. For principal officers and above, at the end of the year, once fully completed, the original should be sent to the Permanent Secretary (Establishments), duplicate to the respective Head of organisation and triplicate to the public servant concerned. All other employees (senior officers and below) original copy should be sent to the Chief Executive Officer of the organization, duplicate to the parent ministry of the specific cadre and the triplicate to the public servant concerned.

CAG anaangukia wapi?
Anaweza mpa kazi na anayeweza mfukuza kazi kwa taratibu zozote zile ndio Boss.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Huu mjadala naushangaa sana. Kinga ya CAG inaanza na kuishia kwenye shughuli zake za ukaguzi tu. Mwenye kinga ambazo tumezipigia kelele muda ni Rais tu lakini wengine wote kuna namna wanajibika nje ya majukumu yao ya kawaida. Tuache kuchagua upande wa mijadala kwa mitazamo ya viongozi wa vyama vyetu ( wala si misimamo rasmi ya vyama).

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jinsi kinga ya CAG inavyojadiliwa humu utasema CAG ni kama Rais tu.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Hapo ndipo mtatamani katiba mpya au ile ya Warioba,mambo kama haya yangewekwa sawa na katiba hiyo au mahakama ingeshatoa tafsiri sahihi.
Kila mwananchi boss wake ni katiba kwa sababu ndani ya katiba ndio tunapata sheria ambazo zinatufanya tuzifuate na kushindwa kuzifuata unajikuta ndani ya kuta za magereza, kupoteza mali au kazi.

Hata sheria zikienda kinyume na boss wa sheria ambaye ni katiba, zitakuwa hazifai na inabidi zibadilishwe au zifutwe.

Ieleweke kuwa nchi ina mihimili mitatu ya dola na kila taasisi/mfanyakazi katika sekta ya umma lazima awe ndani ya muhimili mmojawapo kati ya hiyo mitatu.

Hoja ya msingi CAG kama taaasisi/mfanyakazi wa sekta ya umma anaangukia kwenye muhimili upi wa dola?
 
Kikaragosi wa dikteta anafuata maelezo ya kichaa jiwe katika kumchafua ili kumtafutia sababu ya CAG Assad kuondolewa na fisadi na mwizi atakuwa huru kukwapua trillions zaidi toka hazina bila wasi wasi wowote kwani mkoromije mwingine atapewa uCAG na kutoandika chochote kuhusu wizi, ufisadi na ubadhirifu wa kichaa jiwe.

Bunge DHAIFU, spika DHAIFU, naibu spika DHAIFU na wabunge wote wa ccm DHAIFU.

View attachment 999944

Watanzania tujiulize,Je Ndugai(najisikia vibaya kumuita Spika) ni Katiba?
 
"HANA BOSI. BOSI WAKE NI KATIBA"

Ushasema hana bosi, anakuwaje na bosi katiba tena?

Hawa ndio wanazuoni wanaofundisha vijana wetu logic pale University of Dar-es-Salaam.

Na UD ndio moja ya vyuo vikali Afrika.

Halafu unajiuliza kwa nini weusi akili zetu zimedumaa?
Hahahahahah mwenyewe nimeshangaa sana.Yaani boss wa CAG ni KATIBA hahahahahahah. Kwahiyo hata mawaziri nao boss wao ni KATIBA. Tuna wasomi UCHWARA sana

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Back
Top Bottom