Prof. Chachage ukweli wa maneno yake umetimia

unakandya nini unajivu nini.... pambFff kweli. do you context ya kauli ya xhachage? au ndio ule upuzi wa kukurupuka kama kawaida yako?

ati gross oversimplification... and then unafanya hayohayo...

Mkuu TF hebu mpe facts aelimike ili aache ''upuuzi na kukurupuka kama kawaida yake'', na Pambafff! isiwe miongoni mwake, tuelimishane kwa hoja zenye nguvu kuliko kulazimishana kwa hoja ya nguvu!
 
Mapovu, !?you have a good point but the approach that precedes your comment makes you too subjective, let us argue! we are not of the same opinion, so let us be as objective as it needs us to be without bringing our emotions in the debate!

Baba V,

Hilo neno "mapovu" mara nyingi naliunganisha kutoka kwa mtu ambaye kashalimwa points zilizomgusa, zilizotolewa hususan kwa hamasa ya kina cha ilmu inayohusika, na pengine huyumkinika kabisa kwamba zimekitika katika masikio na kichwa ambacho hakijapata wasaa wala neema ya kuelimika vya kutosha, na katika kulumbana kulikokosa vina wala mizani si haba kujibiwa kwa miraba ya jumlajumla kwa misamiati isiyo stara wala staha kama "mapovu".

Wanaopima maneno ni muhali sana kutumia maneno yaso haiba kama "mapovu". Ni lugha yenye dalili za unyama.

Nijuavyo mie ukiacha ng'ombe, mwenye kutoa mapovu kama ni mwanadamu ni mgonjwa wa kifafa ambaye akiwa katika hali hiyo hata kushika keyboard hawezi.

Sasa lugha ya kumlinganisha yeyote na mnyama au mtu wa hali hiyo si ya kiungwana na haiwezi kupata kibali miongoni mwa kamati za wenye kudumisha haiba na taadhima za JF.
 
Mkuu TF hebu mpe facts aelimike ili aache ''upuuzi na kukurupuka kama kawaida yake'', na Pambafff! isiwe miongoni mwake, tuelimishane kwa hoja zenye nguvu kuliko kulazimishana kwa hoja ya nguvu!

One has to only glance at
"do you context ya kauli ya xhachage?"
to put the whole animalistic animosity from the post in the right "context".
 
If you revisit city by laws a perimeter fence is allowed to be solid only up to a height of 1.2 meters above the natural ground level and above that it has to be made of chain link or barbed wire. Hizo ngome I mean solid block/ concrete wall some as high as (4)foour meters are just unlawful structures which not only destroy the architectural Harmony but make them look like Maximum security facilities .

Hizo sheria za mipango miji Tanzania ndio ashaddu kwenye kuleta matabaka. Ni muendelezo wa sheria zilizowekwa na Muingereza aliepanga miji alimotawala kwa misingi ya race na kuweka hadi buffer zones kutenganisha muingiliano wa race hizo.

Hakuna anaezifuata tu lakini zingefuatwa zote na watu wote basi matabaka yangeonekana dhahiri, zaidi ya yanavyoonekana na baadhi ya watu kwa kuangalia urefu wa kuta
 
gape kubwa kati ya maskini na tajiri ndiyo chanzo hasa cha maukuta na mageti. enzi za mwalimu hiyo gape ilikuwa ndogo sana na ndiyo sababu mageti yalikuwa madogo au hayakuwepo kabisa

423286_400139826679163_39081685_n.jpg
 
Ukiona mtu nyumbani kwake kajenga ukuta mrefu na mageti mazito UJUE ni mwizi na kimsingi anahofu ya kuvamiwa na aliowazulumu haki yao" nenda msasani kwa mwalimu hana ukuta huo wala geti na kimsingi hakuwa na hofu na wala hakuwahi kuwazulumu watu. - prof chachage

ameanza na maneno haya. ukiona mtu that means kila mtu mwenye geti. angesema ukiona fisadi kajenga ukuta hapo ndio ningekuwa na maana tofauti, wewe umeona hivo mimi nimeona hivo wewe umegeneralize kijana panua mawazo yako pia kwa mtizamo mwingine. kwa kwe yeye kila mtu mwenye geti ni mwizi na ana hofu.hii statement haijakaa sawa na pia sijaona source yake kumtaja prof chachage haitoshi aseme kaipata wapi.
sasa kila mtu mwneye geti ni mwizi au ni fisadi au ana hofu? kujenga uzio na geti kuna maana nyingi zaidi ya ulioona wewe au mimi.






Hana Maana ni Majambazi tu; Siri nani anakuja Nyumbani kwake kwa Ufisadi ambaye sio Msafi anayefanya shughuli

Ukiona mtu nyumbani kwake kajenga ukuta mrefu na mageti mazito UJUE ni mwizi na kimsingi anahofu ya kuvamiwa na aliowazulumu haki yao" nenda msasani kwa mwalimu hana ukuta huo wala geti na kimsingi hakuwa na hofu na wala hakuwahi kuwazulumu watu. - prof chachage
Sio za haki Mfano Mzuri nikupe ni ule Mpango wa hao waliokuwa wanakula wakati wa Umeme kuzimwa labda walikuwa

Wanazuru nyumba za Wakuu wa Serikali na kama kuna kuta kubwa na za kisiri nani atajua humo ndani nani yumo?

Panua Mawazo Yako... ONA MBALI....
 
Back
Top Bottom