Prof. Baregu nae ajiuzulu chadema.

Prof. Baregu nae ajiuzulu chadema.

Status
Not open for further replies.

Mtela Mwampamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
537
Reaction score
347
Mjumbe wa tume ya mabadiliko ya Katiba kutoka chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) ametoa kauli ya kujiondoa na kujiuzulu nafasi zake ndani ya Chama hicho kupelekea maamuzi yaliyofanywa na kikao cha kamati kuu ya chama hicho yaliyotangazwa leo.

Hivi karibuni nitawaletea taarifa kamili na kama atatoa tamko la maandishi. Kaeni mkao wa kula wanajamvi.
 
Hiyo ni habari nzuri kwani watakuwa wamechemsha. Wajiuzulu ili tujue moja. Tunachojua ni kuwa wataondoka makapi lakini CDM itabaki na wale ambao wapo CDM kwa dhamira ya mabadiliko ya kweli siyo nusu nusu.
 
Bado prof. Safari!
Hii CDM imemalizika rasmi! Bado watoto wadogo wasiojua chochote ndio wanaleta ubishi usio na mashiko!
Kwa lugha rahisi wamebaki mavuvuzela, wenye ushawishi wa hoja wanajiweka pembeni!
 
Kheri haya yametokea mapema kabla 2015,haya kama wewe Mwampamba na Juliana mlipokelewa na Kikwete,je Zitto na hawa wasomi wakuu wenye harakati za mapinduzi japo ukweli wote wametumiwa na Zitto kwa masilahi ya CCM pasipokuujua undani wa Zitto na chama kongwe,mapokezi yao itakuwaje??!! Nahisi CCM mtamwalika raisi wa China kuwapokea maana mlishaanza na balozi wao!!!
 
Ndo kazi pekee unayoiweza dogo...
Mkuu huna habari!
Ma-F4F wako on the rampage.

Kama wewe ni msomi na bado uko CDM na kuendeshwa na watu ambao darasa ni mgogoro, basi subiri mwaliko wa kuandamana toka kwa Lema!

Bado prof. Safari!
Hii CDM imemalizika rasmi! Bado watoto wadogo wasiojua chochote ndio wanaleta ubishi usio na mashiko!
Kwa lugha rahisi wamebaki mavuvuzela, wenye ushawishi wa hoja wanajiweka pembeni!
 
Wewe ni msemaji wa ccm toa tamko la chama chako acha kiereere
 
Bado kidogo mtatangaza kuwa Dr. Slaa naye amejiuzulu.

Tiba
 
hivi kwani kujiuzuru nalo limekuwa dili kiasi hicho? waache waondoke maana usajili wa kudumu bado tunao kwenye ofisi ya msajili wa vyama.
 
Waondoke kabisa, hii ndo safisha ya mara ya mwisho kabisa, baada ya hapo inaibuka CDM mpya, ondoa wote
 
BREAKING NEWZ!!!! Heche,Mnyika,na Slaa wajiuzulu rasmi.Wanadai eti Lema na Mbowe wanawanyanyasa.Hahahahahahahhahhhahahhahahahhhahahahhahahhahahhahhahhahhahhhahahhaahahahhahahhahahhahhahhahhahhhahahha
 
wale ni wapigania haki zao na wala si chochote
 
Tunamtakia kila la kheri Prof Baregu,na tunampongera kwa utumishi uliotukuka kama msomi na mpiganaji wa maendeleo ya Demokrasia ndani ya Chama na Taifa kwa ujumla.
CHADEMA TUSONGE MBELE,UKOMBOZI UMEKARIBIA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom