Prof. Baregu nae ajiuzulu chadema.

Prof. Baregu nae ajiuzulu chadema.

Status
Not open for further replies.
Wamejiuzulu au wamewajibika. Hii kuwajibika au kuwajibishwa imechelewa sana, ilitakiwa itokee November 2010!
 
kama hili ni kweli, basi ndio mwisho wa cdm
 
Hiyo ni habari nzuri kwani watakuwa wamechemsha. Wajiuzulu ili tujue moja. Tunachojua ni kuwa wataondoka makapi lakini CDM itabaki na wale ambao wapo CDM kwa dhamira ya mabadiliko ya kweli siyo nusu nusu.

Vichwa vyenye akili timamu vinaondoka,na makapi yanaongezeka! Just imagine,afande sele awe waziri! Au Lema awe waziri! Ha ha ha! Poor chagadema!
 
bila shaka huu ndio mpango uliosukwa na kuzungumziwa na wassira cdm kitakufa v.soon
bila shaka wamebugi step meeeen
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom