Lowassa ni mtu safi. Vinginevyo asingethubutu kuondoka CCM.
Hili nalo neno mkuu! Wengi tuliamini kabisa kwamba Lowassa kwa "ufisadi" wake salama yake iko ndani ya ccm tu! Sasa kwamba amethubutu ku "cross the boarder", naamini anajiamini kuwa hawana pa kumkamatia bila ya wao wenyewe kujitumbukiza shimoni!