Prof. Baregu: CHADEMA tuko wamoja

Prof. Baregu: CHADEMA tuko wamoja

Pesa zina nguvu kuliko PHD.
Ukiona hadi Professor Baregu kabadili msimamo na kutetea mafisadi basi unajua tanzania inaanza kuwa na wasomi na maprofesa koko ambao hawana msaada wowote wa maana kwa wananchi wa kawaida.Pesa ina uwezo wa kufuta hata PHD ya mtu ikamuweka kwenye kundi la watu ambao hata shule hawakukanyaga.Shame on you proffessor Baregu.
Leo ni fisadi kwa sababu hayuko upande wa CCM mbona hamjibu suala la mkuu aliyehusushwa na Richmond? Hizi njaa ni hatari sana, katoa ushahidi kuwa siyo yeye lakini mmekomaa kuwa fisadi sasa semeni vema nasi ambao hatuna chama tunataka mabadiliko
 
Pesa zina nguvu kuliko PHD.
Ukiona hadi Professor Baregu kabadili msimamo na kutetea mafisadi basi unajua tanzania inaanza kuwa na wasomi na maprofesa koko ambao hawana msaada wowote wa maana kwa wananchi wa kawaida.Pesa ina uwezo wa kufuta hata PHD ya mtu ikamuweka kwenye kundi la watu ambao hata shule hawakukanyaga.Shame on you proffessor Baregu.
Pesa ina nguvu kufuta PHD za kuzawadiwa kama za JK na wala si vinginevyo.....
 
Jifunzeni sana kujibu tuhuma uchaguzi huu, Mlipo nyie sisi tumeshatoka
 
Pesa zina nguvu kuliko PHD.
Ukiona hadi Professor Baregu kabadili msimamo na kutetea mafisadi basi unajua tanzania inaanza kuwa na wasomi na maprofesa koko ambao hawana msaada wowote wa maana kwa wananchi wa kawaida.Pesa ina uwezo wa kufuta hata PHD ya mtu ikamuweka kwenye kundi la watu ambao hata shule hawakukanyaga.Shame on you proffessor Baregu.

Mdau ni kipi hujaelewa hapo ? mbona maelezo yanajieleza kwa kina kabisa,
 
Pesa zina nguvu kuliko PHD.
Ukiona hadi Professor Baregu kabadili msimamo na kutetea mafisadi basi unajua tanzania inaanza kuwa na wasomi na maprofesa koko ambao hawana msaada wowote wa maana kwa wananchi wa kawaida.Pesa ina uwezo wa kufuta hata PHD ya mtu ikamuweka kwenye kundi la watu ambao hata shule hawakukanyaga.Shame on you proffessor Baregu.

kaka msemo wako nimeukubali nami pia naunga mkono
 
Ufisadi mmeugundua leo !?, mbona alipokuepo huko ccm hamkumuona kama fisadi.
 
Pesa zina nguvu kuliko PHD.
Ukiona hadi Professor Baregu kabadili msimamo na kutetea mafisadi basi unajua tanzania inaanza kuwa na wasomi na maprofesa koko ambao hawana msaada wowote wa maana kwa wananchi wa kawaida.Pesa ina uwezo wa kufuta hata PHD ya mtu ikamuweka kwenye kundi la watu ambao hata shule hawakukanyaga.Shame on you proffessor Baregu.
Hata mimi nilikuwa napinga wazi wazi na kushangaa kilichofanywa na CHADEMA lakini baada ya kupata facts na taarifa za ziada nimeelewa sasa kwa nini mambo yako yalivyo.

Msimamo sio kupinga ili mradi unapinga tu au kinyume chake lakini msimamo ni principles ambapo hoja, falsafa nk hujengwa juu yake. Sasa kama kuna taarifa, hali au facts zisizopingana na principles mama basi inabidi uwe wise & flexible enough ili uweze kwenda mbele.
 
Watu wanazani chadema ni ya mwenyekiti kama ccm akiamua anaamua chadema inaendeshwa na vikao na ujio Wa lowasa aliojiwa na kamati na alieleza kila kitu kama angekuwa mchafu angeama ccm chama cha visasi
 
Pesa zina nguvu kuliko PHD.
Ukiona hadi Professor Baregu kabadili msimamo na kutetea mafisadi basi unajua tanzania inaanza kuwa na wasomi na maprofesa koko ambao hawana msaada wowote wa maana kwa wananchi wa kawaida.Pesa ina uwezo wa kufuta hata PHD ya mtu ikamuweka kwenye kundi la watu ambao hata shule hawakukanyaga.Shame on you proffessor Baregu.
Ee Mola, msamehe mja wako huyu East African Eagle kwa kuwa hajui asemalo! Amina!
 
Pesa zina nguvu kuliko PHD.
Ukiona hadi Professor Baregu kabadili msimamo na kutetea mafisadi basi unajua tanzania inaanza kuwa na wasomi na maprofesa koko ambao hawana msaada wowote wa maana kwa wananchi wa kawaida.Pesa ina uwezo wa kufuta hata PHD ya mtu ikamuweka kwenye kundi la watu ambao hata shule hawakukanyaga.Shame on you proffessor Baregu.

Mbona kwa miaka minane wasomi waliokuwepo ndani ya CCM na serikali hukuwaona hamnazo wakiwa na huyu mtu lakini kwa siku tatu tuu huko alikoenda wasomi wake umewaona hamnazo?
Nimewahi kukuambia kuwa wewe una wivu wa ukewenza.
 
Pesa zina nguvu kuliko PHD.
Ukiona hadi Professor Baregu kabadili msimamo na kutetea mafisadi basi unajua tanzania inaanza kuwa na wasomi na maprofesa koko ambao hawana msaada wowote wa maana kwa wananchi wa kawaida.Pesa ina uwezo wa kufuta hata PHD ya mtu ikamuweka kwenye kundi la watu ambao hata shule hawakukanyaga.Shame on you proffessor Baregu.
Mkuu ni mgumu kuelewa kwa kuhofu kubadili msimamo. Umeambiwa ni kitu kimepitia taratibu na vikao vyote lazima vya chama.
 
Leo ni fisadi kwa sababu hayuko upande wa CCM mbona hamjibu suala la mkuu aliyehusushwa na Richmond? Hizi njaa ni hatari sana, katoa ushahidi kuwa siyo yeye lakini mmekomaa kuwa fisadi sasa semeni vema nasi ambao hatuna chama tunataka mabadiliko
Kasema RICHMOND ya ni ya mamlaka ya juu na nyie mmeamini wakati mnajua Mamlaka ya juu haijahukumiwa na mahakama kuthibitisha hilo kwa theory zenu koko.Kwa formulka hiyo hiyo kama bunge na serikali limesema Lowasa kahusika na Richmond Kwa nini msiamini mkaamini ya Lowasa wakati naye anayasema bila Ushahidi wa mahakama? Eti katuthibitishia hakuhusika!!!!!!!????????? Aliyehusika mamlaka ya juu!!!!!!!!!!!?????? Pesa za rushwa zimewapofusha.

Hakuna kitu kigumu kumtetea mtoa rushwa wakati umepokea rushwa.Midomo lazima ijigonge

Ninachokiona ni kuwa baada ya kula rushwa na kupokea rushwa toka kwa mafisadi UKAWA na CHADEMA hasa mmefuta neno la UFISADI rasmi kwenye vocabulary yenu na kuwa kuanzia sasa ni marufuku mtu kumwita fisadi kama hajahukumiwa na mahakama ili mpate nafasi ya kuwaingiza watuhumiwa wa Ufisadi ndani ya vyama vyenu mle pesa zao.

CHADEMA sasa ni CHAMA CHA CHA MAFISADI Rasmi.
 
Back
Top Bottom