babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Hakuna mfumo rahisi kuiba kama digital. Marekani na technologia yote Lakini bado kuna malalamiko russia walichangia kumweka Donald Trump. Digital watu wachache wa IT wanaweza kumweka mtu wanayemtaka.
Tangu kifo cha Magufuli kumekuwa na matamko mengi ya kifisadi.
Mara umeme wa gesi ndio cheap! Mwingine turudi bandari ya Bagamoyo lakini mkataba hawataki kuweka wazi!
Isishangae siku za karibuni kukawa na mchakato wa mabilioni ya dola ya kampuni ya kuzambaza vifaa na mfumo wa digital wa uchaguzi!!
Tangu kifo cha Magufuli kumekuwa na matamko mengi ya kifisadi.
Mara umeme wa gesi ndio cheap! Mwingine turudi bandari ya Bagamoyo lakini mkataba hawataki kuweka wazi!
Isishangae siku za karibuni kukawa na mchakato wa mabilioni ya dola ya kampuni ya kuzambaza vifaa na mfumo wa digital wa uchaguzi!!