johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,152
CAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa
Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani
Eid al Adh'haa Njema!
Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani
Eid al Adh'haa Njema!