Prof Assad: Sitapiga Kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali. Nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani!

CAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa

Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani

Eid al Adh'haa Njema!
Huyu mwamba wakati huo Tulimuita MJ Assad pale udsm akiwa kijana mdogo sana

Akiongea kwa besi na sauti ya kujiamini sana
Utamsikia

Debit: Cash
Credit:Credit Machinery Account

Alikuwa msela sana anatembea kwa kudunda dunda tunamuita mzee wa USA na alikuwa anagonga english ya Marekani vibaya sana

Debit and credit has got no meaning but it depend on assumption of the user although all assets have debit balance when they increase

Watu wengi walihudhuri kipindi cha Assad Ac 100 na Ac 101

Wale wazee wa PCM na PCB halafu mnaingia Business ilikuwa raha sana ,umetoka huko hujui Debit wala credit ndio unalikuta kwa MJ Assad(Mus Juma Assad)

Huyu mwamba alikuwa ni Seminar leader chini ya Sister wa kikatoliki akiitwa sister Baptister pale FCM yaani facult of commerce and Management sasa vijana wanaita UDBS

Mwamba akifika darasani anatembea kwa kudunda dunda na sandles kubwa

ASSAD alikuwa msela nondo fulani hivi anaongea kimarekani

Huyu alikuwa mzee wa teknolojia sana na master mind wa excell enzi hizo watu hawajui hata maana ya power point

Miaka inakimbia sana eti leo ni Prof mstaafu wakati sisi tulimuacha Seminar leader pale UD
 
Mzee keshashiba ubwabwa wake sasa anaropoka tu. Mwambie, sisi tutaendelea kupiga kura. Kura yake moja haisaidii chochote.
Namuona hapo chini ukipeleka ufagio kwa Asad na ndio akakuambia hayo.
FB_IMG_1688038903829.jpg
 
Hata Mimi supigi kura asee.

Unaamka mapema kwenda kujipanga mstari Kama unawahi foleni ya maji ,unamchagua kiongozi wako Safi alafu unakuja kusikia nchi nzima wameshinda sisiem. Yani siyo jimboni kwako pekee,bali Tanzania nzima wameshinda chama kimoja tu,sisiem.

Hakuna uchaguzi wa namna hiyo,nipo sambamba na CAG.
 
Huyu mwamba wakati huo Tulimuita MJ Assad pale udsm akiwa kijana mdogo sana

Akiongea kwa besi na sauti ya kujiamini sana
Utamsikia

Debit: Cash
Credit:Credit Machinery Account

Alikuwa msela sana anatembea kwa kudunda dunda tunamuita mzee wa USA na alikuwa anagonga english ya Marekani vibaya sana

Debit and credit has got no meaning but it depend on assumption of the user although all assets have debit balance when they increase

Watu wengi walihudhuri kipindi cha Assad Ac 100 na Ac 101

Wale wazee wa PCM na PCB halafu mnaingia Business ilikuwa raha sana ,umetoka huko hujui Debit wala credit ndio unalikuta kwa MJ Assad(Mus Juma Assad)

Huyu mwamba alikuwa ni Seminar leader chini ya Sister wa kikatoliki akiitwa sister Baptister pale FCM yaani facult of commerce and Management sasa vijana wanaita UDBS

Mwamba akifika darasani anatembea kwa kudunda dunda na sandles kubwa

ASSAD alikuwa msela nondo fulani hivi anaongea kimarekani

Huyu alikuwa mzee wa teknolojia sana na master mind wa excell enzi hizo watu hawajui hata maana ya power point

Miaka inakimbia sana eti leo ni Prof mstaafu wakati sisi tulimuacha Seminar leader pale UD
Hiyo 'prof mstaafu' umeongeza wewe hapo.
 
CAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa

Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani

Eid al Adh'haa Njema!
Profesa naye ni mshamba kiasi hicho, cha kudhani "kura ya kijidigitari" ndio suluhisho?
Siamini kuwa kayasema hayo.
 
Mzee keshashiba ubwabwa wake sasa anaropoka tu. Mwambie, sisi tutaendelea kupiga kura. Kura yake moja haisaidii chochote.
Namuona hapo chini ukipeleka ufagio kwa Asad na ndio akakuambia hayo.
View attachment 2673047
Nchi hii punguani inaonekana mpo wengi.

Mtu kama wewe kwa upeo na akili yako ilivyo, huwezi kuelewa logic ya statement ya prof. Assad. Ni wake tu wenye akili inayofanya kazi ndio wataelewa.
 
CAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa

Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani

Eid al Adh'haa Njema!
Amesema ukweli mchungu, ndio maanaa chama tawala hapa nxhini na katika nchi zingine za Afrika zenye mfumo wa utawala kama Tz, haziheshimu wananchi wa kawaida (wapiga kura) kwa sababu vyama hivyo kuendelea kubaki madarakani havitegemei kura za Wananchi wapigakura, badala yake wanategemea Majeshi hususani Jeshi l an Polisi, Taasisi za Ujasusi/Upelelezi au majeshi mengineyo.
 
Kwamba Digitali ya Sasa haiwezi kuchezewa ?

Labda dunia ikiingia mfumo wa Block Chain katika Upigaji Kura; Otherwise its just a Useful Illusion ya kuwapa watu hope kwamba wao ndio wamemuweka atakayekuwepo hapo juu...
 
CAG Mstaafu Prof Mussa Assad amesema hatapiga kura nchi hii hadi tutakapomudu kupiga kura Kidigitali na kuiona mubashara kura Yako inaenda kwa mlengwa

Assad amesema nchi hii tunapiga kura lakini hatuchaguani

Eid al Adh'haa Njema!
Huyo Prof. atakufa akiwa amechoka sana! Sio kwa kuropoka huko!!!
 
Tangu nizaliwe hadi sasa sijui hata hilo karatasi la kupiga kura linafananaje, na wala sijawahi kufikiria kupiga kura.
 
Back
Top Bottom