BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Yes , na hasara iliyopatikana..sasa CAG Assad atakwenda kukagua uuzwaji wa nyumba za serikali?
..je, tutaletewa orodha ya waliouziwa, bei waliyouziwa, pamoja na bei ya soko ya nyumba hizo?
ndio maana sasa hivi wanamkaangaHii ndo faida ya kuwa na wasomi walio straight forward kama Asaad. Na kilio kikubwa kitasikika kwenye report ya ukaguzi hapo mwakani.
Huyu bwana hajamaliza hata mwezi kazini tayari anashambulia wanasiasa.
Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."
Anadai watu wanaendekeza faida binafsi ktk maamuzi yao wakiwa madarakani.
Amekwenda mbali na kusema ule mradi wa MAGUFULI wa kuuza NYUMBA ZA SERIKALI ni mfano wa "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."
Kwa kweli Professor atakaporudi nyumbani anapaswa at least aseme kuwa alinukuliwa vibaya, hata kama kuna ushahidi wa sauti yake.
Mahojiano yake yapo hapa chini, lakini specifically unaweza kuanzia dakika ya 6.
Audio: https://news.un.org/sw/sites/news.un.org.sw/files/audio/2014/12/02mahojianoassadbodi.mp3
Kwa kirefu: Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad | Idhaa ya Redio ya UM
cc Ritz, Pasco, Sangarara, Tetty, VUTA-NKUVUTE, Nguruvi3, NasDaz, Mdondoaji
HII NDIO INAMTESA ASSAD
Kumbe shida ilianzia hapa? Ok huu ndio utamu wa JF.Huyu bwana hajamaliza hata mwezi kazini tayari anashambulia wanasiasa.
Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."
Anadai watu wanaendekeza faida binafsi ktk maamuzi yao wakiwa madarakani.
Amekwenda mbali na kusema ule mradi wa MAGUFULI wa kuuza NYUMBA ZA SERIKALI ni mfano wa "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."
Kwa kweli Professor atakaporudi nyumbani anapaswa at least aseme kuwa alinukuliwa vibaya, hata kama kuna ushahidi wa sauti yake.
Mahojiano yake yapo hapa chini, lakini specifically unaweza kuanzia dakika ya 6.
Audio: https://news.un.org/sw/sites/news.un.org.sw/files/audio/2014/12/02mahojianoassadbodi.mp3
Kwa kirefu: Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad | Idhaa ya Redio ya UM
cc Ritz, Pasco, Sangarara, Tetty, VUTA-NKUVUTE, Nguruvi3, NasDaz, Mdondoaji
Kwa Assad: watakoma namfahamu - nadhani wote waliosoma accounts UDSM wananielewa, jamaa siyo mnoko ila yupo fair sana - ni haki bin haki
Hiyo ya mwakani watakuwa wamemuweka mtu wao hataonesha udhaifu wowoteHii ndo faida ya kuwa na wasomi walio straight forward kama Asaad. Na kilio kikubwa kitasikika kwenye report ya ukaguzi hapo mwakani.
Kwahiyo ni sawa na kusema waliofanya maamuzi yale ni wapuuzi na aliyesimamia utekelezaji wa maamuzi yale ni mpuuzi pia?Kwani ni nani asiyejua kuwa kati ya maamuzi ya kipuuzi yale ni namba moja?
Ni ujinga, mikoani nyumba za serikali walizokuwa wanatumia majaji zimeuzwa. Leo hii serikali inalipia majaji hotelini bei ghali ajabu
Siyo zimeuzwa, bali wameuziana, fuatilia mkuu! Nafahamu nyumba zilizokuwa za serikali ambazo wameuziwa viongozi ikiwemo wakuu wastaafu wa polisi na wao wamepangishia watu tena wanapokea USD! CCM Hapana kwakweli!Kwani ni nani asiyejua kuwa kati ya maamuzi ya kipuuzi yale ni namba moja?
Ni ujinga, mikoani nyumba za serikali walizokuwa wanatumia majaji zimeuzwa. Leo hii serikali inalipia majaji hotelini bei ghali ajabu
Je maoni yako kwa sasa yakoje mkuu?Mimi nina hofu kama kweli hajengi mazingira ya kuaminiwa ili siku akirudi na kusafisha escrow aonekane ni mtenda haki.
Naona ameingia bara bara kuu kwa kasi, sijui kama itaendelea hivyo au ndio anaandaa sanduku la mazingaombwe
Naona hili kaburi linaanza kufukuliwa upya
Pascal Mayalla ama pasco wa JF alisemaje?Ritz,
..naona umekuwa mgumu tu kuelewa.
..hili suala aliyelisimamia mwanzo mwisho ni Magufuli akiwa waziri mwenye dhamana.
..Raisi hawezi kufanya jambo lolote lile bila ushirikiano na waziri husika.
..ungeweza kumlaumu Mkapa moja kwa moja na peke yake, kama wizara ya ujenzi ingekuwa sehemu ya ofisi ya Raisi, na Magufuli angekuwa ni waziri wa nchi ofisi ya Raisi Ujenzi.
NB:
..hata Kinana ktk ziara zake za kuimarisha chama na kukagua miradi ya maendeleo, amewahi kukemea zoezi la uuzaji nyumba za serikali.
cc Pasco, Nguruvi3
We unaonaje mkuu ? Walikuwa na interest zipi ?Kwahiyo ni sawa na kusema waliofanya maamuzi yale ni wapuuzi na aliyesimamia utekelezaji wa maamuzi yale ni mpuuzi pia?
Sent using Jamii Forums mobile app