johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
" ....kama unakopesheka Kopa hiyo ni advantage ambayo wengine hawana itumie kujiletea Maendeleo ya haraka" haya ni maneno ya Profesa Arora aliyekuwa mhadhiri wa Chuo cha Fedha ( IFM)
Hata Shujaa Magufuli amekopa sana tu na ndio hii miradi mikubwa ya kimkakati tunayoiona
Heri ya Mwaka Mpya!
Hata Shujaa Magufuli amekopa sana tu na ndio hii miradi mikubwa ya kimkakati tunayoiona
Heri ya Mwaka Mpya!