CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Mama Tibaijuka, tulikwambia kuwa hapa ni Bongo ya CCM, utapoa tu. uta-loose your credibility! utakuwa kama wao!! Na sasa umeshakuwa hivyo. Umegeuka mzuka wa kugonga meza kama wenzako. nimekuona leo unagonga meza kwa kitu ambacho Prof. kama wewe ulivyokuwa Habitat usingelipiga meza as asign of support. Ulikuja Moto sasa umepoa, na bado utakwenda hata kwenye kufanya ufisadi!!! Let us wait and see!!!