Prof Adolf Mkenda: Sekta binafsi inaalikwa kwenye Ujenzi wa Hosteli popote ila iwe tu karibu na chuo chenye upungufu wa Hosteli kwa sharti ya Ubia

Prof Adolf Mkenda: Sekta binafsi inaalikwa kwenye Ujenzi wa Hosteli popote ila iwe tu karibu na chuo chenye upungufu wa Hosteli kwa sharti ya Ubia

YAY

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
556
Reaction score
537
===
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Faustine Mkenda amezikaribisha Kampuni, Watu binafsi au Mashirika ya kiria kuchangamkia fursa za kujenga na kuendesha Nyumba kwaajili ya mabweni | Hosteli maeneo jirani na vilipo vyuo ambavyo vinaupungufu wa Hosteli kwaaji ya wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini.

Pia soma CBE: PPP kujenga mabweni yatakayochukua wanafunzi Elfu 12

Itakumbukwa kuwa tayari chuo cha Elimu ya Biashara nchini CBE tayari wameshampata mkandarasi atakayejenga mabweni yenye kubeba wanafunzi elfu 12 kwa mara moja kazi iliyoratibiwa na kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC ambacho kipo chini ya Mkurugenzi wake Mtendaji Bwana David Kafulila ambae ndio kama mwanzilishi wa kituo hicho.


 
===
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Faustine Mkenda amezikaribisha Kampuni, Watu binafsi au Mashirika ya kiria kuchangamkia fursa za kujenga na kuendesha Nyumba kwaajili ya mabweni | Hosteli maeneo jirani na vilipo vyuo ambavyo vinaupungufu wa Hosteli kwaaji ya wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini.

Pia soma CBE: PPP kujenga mabweni yatakayochukua wanafunzi Elfu 12

Itakumbukwa kuwa tayari chuo cha Elimu ya Biashara nchini CBE tayari wameshampata mkandarasi atakayejenga mabweni yenye kubeba wanafunzi elfu 12 kwa mara moja kazi iliyoratibiwa na kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC ambacho kipo chini ya Mkurugenzi wake Mtendaji Bwana David Kafulila ambae ndio kama mwanzilishi wa kituo hicho.


Hii naunga mkono
 
===
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Faustine Mkenda amezikaribisha Kampuni, Watu binafsi au Mashirika ya kiria kuchangamkia fursa za kujenga na kuendesha Nyumba kwaajili ya mabweni | Hosteli maeneo jirani na vilipo vyuo ambavyo vinaupungufu wa Hosteli kwaaji ya wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini.

Pia soma CBE: PPP kujenga mabweni yatakayochukua wanafunzi Elfu 12

Itakumbukwa kuwa tayari chuo cha Elimu ya Biashara nchini CBE tayari wameshampata mkandarasi atakayejenga mabweni yenye kubeba wanafunzi elfu 12 kwa mara moja kazi iliyoratibiwa na kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC ambacho kipo chini ya Mkurugenzi wake Mtendaji Bwana David Kafulila ambae ndio kama mwanzilishi wa kituo hicho.


Kuna wadogo zangu wa Masters za Meficine wanaishi kwenye magofu ya NHC pale nje ya Muhimbili. Mh. Waziri apaangalie na pale la sivyo, kuna siku Bendera ya Taifa itapepea nusu mlingoti. Wahusika waambiwe.
 
Back
Top Bottom