Samsung J701f With Android 9 Pie

SuperImpressor

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
1,504
646
Kama mnavyojua hii simu ambayo inatokana na Samsung J7 Series kipindi cha nyuma ikiwa na Android 6.0 hadi 7.0 ilikuwa ni rahisi kui-root kwa kutumia custom recovery kama TWRP lakini tokea updates zimekuja ama upgraded to android 9 pie, hii kitu imekuwa ngumu sana kui-root kwa sababu ya security patches za hiyo version. Ambapo kama ukiiwekea custom recovery wakati wa ku-boot inafanya verification check ikikuta kuna custom recovery hairuhusu simu kuendelea na process za kuboot.

Sasa swali ni je, kuna mtu aliyefanikiwa ku-root hiyo simu ikiwa na Android 9 Pie?

Na ni kwa procedures zipi alifanikiwa?

Kwenye network bar inaweka badala ya na ili niweze kuirepair hiyo mpaka niiwekee custom recovery.

Sent from my cupboard using mug
 
Nimecheck online hapa mbona hio simu unaflash tu file moja la kernel kwa odin umemaliza kazi.

Kikawaida kuroot samsung global version ni rahisi sana.
Nisaidie link mkuu halafu nitaleta mrejesho nikiambatanisha screenshots

Sent from my cupboard using mug
 
angalia hii video


description yake kaeka link

pia kuna model hizo U7, U8 etc mbele ya hio J701F hakikisha unaziangalia kwako pia
Poa mkuu nitaicheki nione halafu nitaleta mrejesho.
Halafu hii simu yangu ilishafika binary 9 (U9)

Sent from my cupboard using mug
 
SOLVED da issue!

Mkuu Chief-Mkwawa nashukuru nilidownload kernel mbili kupitia ile video tutorial link ila cha kushangaza kernel ya u9 nilipoiflashia kwenye simu, niliambulia bootloop, nikajaribu u8 ikawa stucked on Samsung logo, sikuishia hapo nikajaribu kung'ang'ana sana mpaka nikaamua kuerase Nand nikaflash stock rom upya kisha nikapiga kernel ya U8 kisha nikapiga TWRP ngoma ikaitika lakini nikijaribu kufactory reset ama kuwipe zile partitions ili niweke custom rom nikapata error ya failed to mount data invalid argument. Nikatafuta solution yake nikafix na sasa kitu kipo hewani.


Sent from my cupboard using mug
IMG_20201201_211234.jpg
IMG_20201201_211320.jpg
IMG_20201201_181714.jpg
 
SOLVED da issue!

Mkuu Chief-Mkwawa nashukuru nilidownload kernel mbili kupitia ile video tutorial link ila cha kushangaza kernel ya u9 nilipoiflashia kwenye simu, niliambulia bootloop, nikajaribu u8 ikawa stucked on Samsung logo, sikuishia hapo nikajaribu kung'ang'ana sana mpaka nikaamua kuerase Nand nikaflash stock rom upya kisha nikapiga kernel ya U8 kisha nikapiga TWRP ngoma ikaitika lakini nikijaribu kufactory reset ama kuwipe zile partitions ili niweke custom rom nikapata error ya failed to mount data invalid argument. Nikatafuta solution yake nikafix na sasa kitu kipo hewani.


Sent from my cupboard using mugView attachment 1639413View attachment 1639416View attachment 1639417
Enjoy mkuu
 
Back
Top Bottom