SuperImpressor
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,504
- 646
Kama mnavyojua hii simu ambayo inatokana na Samsung J7 Series kipindi cha nyuma ikiwa na Android 6.0 hadi 7.0 ilikuwa ni rahisi kui-root kwa kutumia custom recovery kama TWRP lakini tokea updates zimekuja ama upgraded to android 9 pie, hii kitu imekuwa ngumu sana kui-root kwa sababu ya security patches za hiyo version. Ambapo kama ukiiwekea custom recovery wakati wa ku-boot inafanya verification check ikikuta kuna custom recovery hairuhusu simu kuendelea na process za kuboot.
Sasa swali ni je, kuna mtu aliyefanikiwa ku-root hiyo simu ikiwa na Android 9 Pie?
Na ni kwa procedures zipi alifanikiwa?
Kwenye network bar inaweka badala ya na ili niweze kuirepair hiyo mpaka niiwekee custom recovery.
Sent from my cupboard using mug
Sasa swali ni je, kuna mtu aliyefanikiwa ku-root hiyo simu ikiwa na Android 9 Pie?
Na ni kwa procedures zipi alifanikiwa?
Kwenye network bar inaweka badala ya na ili niweze kuirepair hiyo mpaka niiwekee custom recovery.
Sent from my cupboard using mug