Prince Alwaheed na mkewe fullu uzungu

sijui macho yangu yanaonaje, mbona kama vile huyo Prince kamshika mkono huyo Mama alievaa nguo nyekundu, sijui ndio mke wake, lakini mke wake si ndio huyo hapo mbele? nisaidieni sijaeilew hii picha
Vasco Naye hakukosekana kama Kawaida
 
Mkuu acha utumwa wa kifikra bwana. Ndiyo maana kina Cameron wameamua kuwafanya mashoga sasa, maana wamewashikia hadi akili.
Lugha imemfanya mama yetu abakie kwa nyuma

attachment.php
 
Back
Top Bottom