Pressure za kuoa na umri

Pressure za kuoa na umri

Relax. Its not a matter of life and death. Any step in the wrong direction could land u the wrong woman. Start dating.
 
Eti wanasema bata ukimchunguza sana humli,so mi nijichukulie tuuuu kisa baba au mama anaweza kudead bila kumuona mjukuu aaaarghhhhhhhhhh ila kuna uncle wangu mmoja wa kanisani aliniacha hooi one day,kuna cheo kimoja alikuwa ananishauri kugombea pale kanisani kutokana na elimu yangu ila tatizo criteria moja nilikuwa namiss (to have a wife) uncle mi nikamwambia sina mtu kwa sasa akanijibu kwa hiyo unasubiri wakufuate wakwambie uwaoe??:sleepy:

And marriage is not for everyone.

So some folks just need to get in touch with their inner-self and realize that.
 
kwa hiyo uli delete kabisa sehemu ya mapenzi kwenye medula yako? ki ukweli wengi tumepitia hayo cha msingi usitake umpate mtu ambae exactly ata meet expectations zako binadamu tupo tofauti awe wa kuletewa (kama nguo )awe wa kutafuta mwenyewe wote wanaweza kukufaa.
 
Umri unapozidi kwenda choice inazidi kupungua ...si kwa wanawake wala wanaume...possibility ya kupata magumashi ni kubwa sana ...kwa sababu huna muda tena wa kuchunguza...mfano wengi tuliolewa na watu ambo hatukuanza kujuana kwa gia ya ndoa...ndoa ilikuwa matokeo ya kiridhika kuwa tunaendana na tunaweza ishi pamoja.. .

Lakini umri ukienda kila relationship inakuwa serious hata kama hai deserve...
kwa kuwa unakimbia na muda.
..

Hapo nilipo bold ni kweli mtupuu...!!
 
Njoo tz, utawazoa kwa sifa unazohitaji tena magraduate. USA jina kubwa wacha kabisa.
 
Niliandika hii miaka zaidi ya miwili Mungu kanisaidia nimekutana na mdada mzuri na nina harusi mwezi ujao. Kila mtu ana muda wake na huwezi kuwa too smart kwenye mambo ya Kimungu inabidi usali na kufunga Mungu atakupa mtu wako Asanteni
 
Niliandika hii miaka zaidi ya miwili Mungu kanisaidia nimekutana na mdada mzuri na nina harusi mwezi ujao. Kila mtu ana muda wake na huwezi kuwa too smart kwenye mambo ya Kimungu inabidi usali na kufunga Mungu atakupa mtu wako Asanteni

For real? That's what's up!

Congratulations are in order!
 
tafuta binti was kuia wewe mwenyewe na si MTU mwingine, kuna njia nyingi za kumpata wasikukurupushe
 
Niliandika hii miaka zaidi ya miwili Mungu kanisaidia nimekutana na mdada mzuri na nina harusi mwezi ujao. Kila mtu ana muda wake na huwezi kuwa too smart kwenye mambo ya Kimungu inabidi usali na kufunga Mungu atakupa mtu wako Asanteni
Hongera sana mkuu...all the best!
 
Back
Top Bottom