BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,487
- 14,064
Ndugu Samia Hassan Suluhu leo kama taatifa ilivyo anaongea na Makada wa CCM Kule Dar, na kama kawaida leo alikuwa aje na zile swaga zao za kila siku, za Walilipawa, Kwanini wachome nchi, Walitoka nje ya nchi, hawatutakii mema, na blaa blaa zingine.
Sasa ile Press ya Kitima inabidi magwiji wa Propaganda warudi Studio kuandaa propaganda mpya ya kumpatia Ndugu Samia leo.
Sasa ile Press ya Kitima inabidi magwiji wa Propaganda warudi Studio kuandaa propaganda mpya ya kumpatia Ndugu Samia leo.