PostGE2025 Press ya Father Kitima imeyeyesha Propaganda za Rais Samia leo

PostGE2025 Press ya Father Kitima imeyeyesha Propaganda za Rais Samia leo

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
5,487
Reaction score
14,064
Ndugu Samia Hassan Suluhu leo kama taatifa ilivyo anaongea na Makada wa CCM Kule Dar, na kama kawaida leo alikuwa aje na zile swaga zao za kila siku, za Walilipawa, Kwanini wachome nchi, Walitoka nje ya nchi, hawatutakii mema, na blaa blaa zingine.

Sasa ile Press ya Kitima inabidi magwiji wa Propaganda warudi Studio kuandaa propaganda mpya ya kumpatia Ndugu Samia leo.
 
Hivi atakuwa amelazimika kubadilishiwa tena hotuba yake baada tu kutoka kwa press ya Fr. Dr. Kitima.
 
Ndugu Samia Hassan Suluhu leo kama taatifa ilivuo anaongea na Makada wa CCM Kule Dar, na kama kawaida leo alikuwa aje na zile swaga zao za kila siku, za Walilipawa, Kwa nini wachome nchi, Walitoka nje ya nchi, hawatutakii mema, na blaa blaa zingine.

Sasa ile Press ya Kitima inabidi magwiji wa Propaganda warudi Studio kuandaa propaganda mpya ya kumpatia Ndugu Samia leo.
Kiufupi bwawa limeshaingia Ruba.... watu warudi nyuma kuanza upya
 
Back
Top Bottom