Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,281
angekuwepo mngesema kahusika, hapo yuko na Mawaziri wa ardhi na Michezo ngebehuyu baba ananichoshaga akili jamani! sijui lini atatoka madarakani. kila akienda safari lazma nyumbani patokee majanga. sijawahi kuona mwaka uko mbali kama 2015. siku haziendi kabisa ili tumwondoe huyu jamaa.
unaacha kulizia Babu yako huko Ujerumani anakula maraha ya Bukoba?