Mkuu Jambazi.. Putin huwa hana / hapendi mbwembwe za ulinzi mkubwa akiwa ziarani kwenye nchi za watu .... ila sema tu Pikipiki ndo huwa nyingi karibu na gari lake
![]()
Wewe NN ushaaanza tena mambo yako! Acha kudanganya watu .. hivyo vyote anavyo tena vingi .. kwanza ujue yeye ana presidential aircraft fleet kabisa
haya hii hapa ni moja ya ndege za Rais wa Urusi Putin ... ambayo hii ni aina ya Ilyushin Il-96-300P . hii ni special plane ambapo wenyewe wanaiita "Command Point".
cc:![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bukyanagandi Elungata mng'ato Extraterrestrial Gagnija JustDoItNow Bongolander TanzaniaLaw 2013 sodoliki mnyikungu MALCOM LUMUMBA Maziku Masunga Jr. Consigliere Chasha Poultry Farm Red Giant Kimweri Aleyn kui Ngongo mnyikungu Viva89 GAUTAMA PTER Mag3 RealMan FaizaFoxy SirChief Maswala 1954 Nyani Ngabu PHILE1879 kui 2013 The mountain lion Phillemon Mikael Mr ceragem Ndahani Kimweri Red Giant yonga Bill Cosby Aleyn Bulldog MBULAMATALI Mr. PRESIDENT ze kokuyo Chasha Poultry Farm Ngaramtoni Pianist gwijimimi Dragoon Noel 2014 Mdau retroviridae kadoda11 idawa TUJITEGEMEE . lee van cliff @.
Sasa miboda boda yote hiyo ya nini?
So ridiculous.
Huyo jamaa anaendeshwa na mahaba bila uhalisia.
Ndo ulichoweza kusema?
Wewe concrete15 ... acha kujifurahisha eti Russia huwa hawafurukuti kwa Republicans! ... kwa taarifa yako tu ni kuwa Russians they don't care ... tena kwa Russians wao huwa wanasema ni afadhali ya Republicans kuliko Democrats! kwa kuwa you can make a deal na Rais wa Republicans na ika-stick kuliko Democrats as huwa kama hawajiamini katika International policies!Huwa chama cha democratic ni peace maker ngoja waingie republican putin atakuwa kimya coz ni wazee wa boot required
Mkuu MALCOM LUMUMBA .. thanx kwa post yako hapo juu, kwa kweli umeongelea vitu mbalimbali tena na vyote ni kweli tupu!Dotworld,
Sasa delegates wapo NYCity leo. Tusibri tuone nani ataondoka NEW YORK as the main player of world politics. Only time will tell.
Sipendi mahaba ya kipumbavu,...Motor Cade ya Obama wala Airforce One hazibadilishi world politics. Kama zingebadilisha basi THE EMIRATES wangekuwa wa kwanza kwa duniani.
Mkuu MALCOM LUMUMBA .. thanx kwa post yako hapo juu, kwa kweli umeongelea vitu mbalimbali tena na vyote ni kweli tupu!
Kuhusu nani ataondoka New York as the main player of World politics nafikiri hili halina mjadala tena! ... maana mara baada ya Putin wa Russia kutoa hotuba yake, ile ya Obama imesahaulika na kila sehemu duniani watu wote wanajadili hotuba ya Putin tu na jinsi ambavyo alivyowagaragaza UN nchi zote za West + US.
Anyway, video ya hotuba ya Putin (complete) aliyoitoa UN na mambo aliyoyazungumzia nimeshaipost hapa JF unaweza kuifuatilia uone aliyoyazungumza ... ila jamaa ni hatari.
Link video Hotuba ya Putin UN": https://www.jamiiforums.com/international-forum/942683-do-you-realise-what-youve-done-putin-addresses-un-2015-full-speech.html#post14157455
THERE ARE DIFFERENT FORMS OF CLOWNS!!!
SO RIDICULOUS.
[video]https://youtu.be/7ZCsfyaOGdw[/video]
:usa2::usa2: U.S.A BABY!!!
Ha! ha! ha! ... Mkuu MALCOM LUMUMBA Obama kajiaabisha kweli! ... yaani ana-toast wakati wa National Anthem ikipigwa! ... ndio maana hata Queen mwenyewe kagoma kunywa ... jamaa ikabidi ayeyushe kiaina!
Ha! ha! ha! Mkuu MALCOM LUMUMBA
Ha! ha! ha! Mkuu MALCOM LUMUMBA
Ngoja na sisi tufanye :usa2::usa2:"USA Baby!" ... ila version ya "Mother Russia!"
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
cc: Nyani Ngabu & kui
THERE ARE DIFFERENT FORMS OF CLOWNS!!!
SO RIDICULOUS.
[video]https://youtu.be/7ZCsfyaOGdw[/video]
Ona sasa hata table manners tu halina,...
Ha! ha! ha! Mkuu MALCOM LUMUMBA
Ngoja na sisi tufanye :usa2::usa2:"USA Baby!" ... ila version ya "Mother Russia!"
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
cc: Nyani Ngabu & kui
heheh!, mnamwita ngoja aje aseme vidubwasha vya usa baby vina sura nzuri kuliko hivi....lol!