President Magufuli is failing Tanzanians and East Africans

Hivi kwani Rais wa Tanzania ni Rais wa A. MASHARIKI ee? Maana wakenya kila kukicha Rais Magufuri afungu mara hashauriki yani mpaka unamsahau raisi wako pia uwe na akili mda mwengine hamuwez kuipangia Nchi ifanye yanayofanywa na Nchi nyengine huwe unajiongeza
Kiukweli napenda sana utashi alionao Magufuli, msukumo na nguvu zake yaani ni mtu ambaye angekua wa kuskliza ushauri na kuufanyia kazi anaweza akaaipeleka Tanzania mbali sana, tatizo lake (kwa maoni yangu) ni aina ya wale wazee ambao hawaambiwi kitu, nakumbuka enzi zetu tukiwa wadogo, tulikua na aina fulani ya wazazi ambaye angekuwasha kibao kisa umejaribu kumshauri au kujibizana naye kwa lolote.
Hawa wazazi walikua wakali kwamba akiamrisha kitu, unaanza kukifanyia kazi hata kama haujakielewa alichokiamrisha, na ukithubutu hata kuhoji au kuomba maelezo zaidi ili uelewe namna gani anataka uifanye anakuwasha kibao kisa haupo makini kwenye kuskliza maagizo.
Ndivyo huwa naiona kwa Magufuli, ni aina hiyo ya kiongozi, yaani akisema kitu, mnapaswa muendane naye kukifanyia kazi, maaelezo na maagizo zaidi mtayapata huko mbele maana kadiri utakavyomhoji ndio utakua unaharibu, na mbaya zaidi jaribu kumbishia ndio utaona balaa yake.
Angekua kiongozi wa kuskliza ushauri na kukubali kukosolewa panapostahiki, kwa kweli angefaulu pakubwa sana katika kuitoa Tanzania, ila kwa sasa ndio kama hivyo, anajikuta akibishia hata mambo ya kitaalam ya Corona.

Yaani pona na nafuu ya Tanzania ni kwamba wako na upinzani dhaifu sana, na pia Watanzania ni watu wenye asili ya unyonge, sio wabishi na wagomvi, kwa kweli rais Magufuli angewaongoza Wakenya nchi ingeishia kwenye umwagikaji mkubwa wa damu, maana desturi yetu na sisi pia wabishi, tutakuhoji hata kwa ukali wako, tutabanana na wewe kwa hali yoyote ile, tutapumuliana, ukienda chini tunakwenda, ukipandisha tunapanda.....najaribu kuwaza hapa ingekuaje kwa kiongozi wa upinzani Tanzania kujiapisha urais kama alivyofanya Raila Odinga hapa kwetu, halaafu tena mbele ya nyomi, maelfu ya watu.....kwa chini ya uongozi wa Magufuli nahisi jamaa wangevurugana mpaka sisimizi hawangekua salama.

Hitler alikua kiongozi mzuri sana kwenye utendaji, yaani alikua mtu wa matokeo tu, hakutaka uzembe wa aina yoyote na Ujerumani ilikua inapiga hatua sana enzi zake, ila tatizo lake kubwa alikua mbishi sana, hakupenda kukosolewa au kushauriwa, aling'ang'ania hadi dakika za mwisho, wakuu jeshini walijaribu kumshauri asishambulie Urusi, wakajaribu kumshauri asitishe vita, yaani mpaka mabomu yanatua Berlin lakini jamaa king'ang'anizi, aking'ata ameng'ata ng'ata ng'ata, hakutaka kuskliza wala nini, na mpaka dakika za mwisho kwa alivyokua mbishi kajipiga risasi kichwani, hakutaka hata dakika moja asikike kwamba amekubali yaishe, kaamua bora ajifie mbali. Ujerumani ikasambaratishwa na kuwa kama shamba....

Ndio hili naliona kwa Tanzania kwenye haya ya Corona, yaani pale Magufuli alisema hatofunga chochote, walahi msitegemee aje kubadilisha hiyo kauli hata mkifa 50%, hehehehe!!! Hivyo haya makelele sijui mara USA, mara WHO, mara CDC hakuna atakayembadilisha kwa hilo, na msitegemee hata huyo Mbowe hana usemi wowote utakaomfanya Magufuli abadilishe msimamo, tafuteni mbinu zingine za kuishi na kirusi lakini msitegemee rais alegeze msimamo wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati Tanzania tulikuwa na kiongozi ambae Dunia ilimtambua na Afrika walimtamani. Ukisema tu unatoka Tanzania kwa kumaanisha zaidi kuielewa Tanzania Mnigeria, Mghana, Myahudi, Mhindi ataongezea Julius Nyerere, ooh he was a Great Leader.

Now we have reverse vers of that statement statement.
 
Kuna wakati Tanzania tulikuwa na kiongozi ambae Dunia ilimtambua na Afrika walimtamani. Ukisema tu unatoka Tanzania kwa kumaanisha zaidi kuielewa Tanzania Mnigeria, Mghana, Myahudi, Mhindi ataongezea Julius Nyerere, ooh he was a Great Leader.

Now we have reverse vers of that statement statement.
Hayo ni maoni yako but Watanzania wengi wanamuamini Magufuli na wanajivunia Magufuli kuwa rais wao by the way anafanya vizuri miradi mikubwa inatekelezwa kuinua uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hapa hujaandika lolote Na nakikishia kwamba magufuli Ataipeleka tz mbali.hivi unauhakika gani magufuli hasikilizi ushauri?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu fuata huu uzi hapa ukajibizane na Watanzania wenzako ambao ndio wako Bongo na wanaona na kuonja hali ilivyo, humu wanasema miradi yote aliyoanzisha imeangukia pua, hamna hata kimoja mnachoweza kutumia kwenye kampeni za kutafuta kura ya urais, ni ile tu Tanzania lazima rais ashinde kwa tikiti ya CCM, ingekua mnahoji kwa matokeo ingekua ndio basi, soma huu uzi hapa
Majanga: Miradi ya Magufuli yote imekwama - JamiiForums
 
Soma hiyo topic mpaka mwisho miradi ya Tanzania haiwezi kwama hata kidogo.
Hebu fuata huu uzi hapa ukajibizane na Watanzania wenzako ambao ndio wako Bongo na wanaona na kuonja hali ilivyo, humu wanasema miradi yote aliyoanzisha imeangukia pua, hamna hata kimoja mnachoweza kutumia kwenye kampeni za kutafuta kura ya urais, ni ile tu Tanzania lazima rais ashinde kwa tikiti ya CCM, ingekua mnahoji kwa matokeo ingekua ndio basi, soma huu uzi hapa
Majanga: Miradi ya Magufuli yote imekwama - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma hiyo topic mpaka mwisho miradi ya tz haiwezi kwama hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wabishie hao maana ndio wapo maeneo husika na wana uwezo wa kusema kama kweli, mimi nilie nje labda nitegemee media, kwa mfano SGR ilikua ianze kazi mwaka jana, leo mnaelekea kwenye uchaguzi bado imebaki kuwa stori, yaani hamna mradi hata mmoja hivi mumekamilisha ukaonekna.
 
Wewe ni injinia? Hakuna mradi wa tz utakaofeli kila mradi unaendelea vizuri wewe subiri muda kidogo uje upige picha na treni ya kisasa na umeme ya tz kwani inakaribia kukamilika.mradi wa tz unamambo mengi kama umeme kuwekwa.

Wabishie hao maana ndio wapo maeneo husika na wana uwezo wa kusema kama kweli, mimi nilie nje labda nitegemee media, kwa mfano SGR ilikua ianze kazi mwaka jana, leo mnaelekea kwenye uchaguzi bado imebaki kuwa stori, yaani hamna mradi hata mmoja hivi mumekamilisha ukaonekna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni injinia? Hakuna mradi wa tz utakaofeli kila mradi unaendelea vizuri wewe subiri muda kidogo uje upige picha na treni ya kisasa na umeme ya tz kwani inakaribia kukamilika.mradi wa tz unamambo mengi kama umeme kuwekwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi sio injinia, ni mtumiaji tu kama yeyote yule, watumiaji au walaji ndio walilishwa matango pori walipoambiwa wataanza kutumia mwaka jana, leo hii ni stori.
 
Kuna wakati Tanzania tulikuwa na kiongozi ambae Dunia ilimtambua na Afrika walimtamani. Ukisema tu unatoka Tanzania kwa kumaanisha zaidi kuielewa Tanzania Mnigeria, Mghana, Myahudi, Mhindi ataongezea Julius Nyerere, ooh he was a Great Leader.

Now we have reverse vers of that statement statement.
You have that type of weakest president in your mind!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raisi wetu. Kumchangua tumchague wenyewe. Lakini mabeberu na wasaliti wa kiafrica kutoka haswa kunyaland povu linawatoka utafikiri ni raisi wao.

Si mtuache na raisi wetu!!! Sisi tunampenda.

Hii tabia kutu undermine kama vile wajinga hatupende. Utatupeleka pabaya. Yani hamlali humu online kuzusha mambo. Kila kukicha mnaanzisha mengini mkishirikiana ma wasaliti wengine wa Tanzania.

Tanzania ni nchi ya demokrasia. Magufuli ni chaguo la wengi. Nyie wachache msiomtaka si mkubali tushindwa na kuonesha huo ukomavu wenu wa kisiasa!!

Mfano yule dada mage. Yeye yupo Marekani. Huko kuna mzozo mkubwa kuhusu hili jambo. 80, 000 wameshakufa, baada ya kuhimiza huko Marekani yani yeye amakazana kuposti Tanzania tu, yani mpaka saingine nashindwa kuelewa.

Jamani ndugu zetu mtuache tu. Magufuli ni chaguo letu. Wakati tunamchagua hatuwaomba hata ushauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Propagandists at work

In Tanzania, things go as usual, just like yesterday like nothing is goin' on corona ain't a hit song anymore, we aint used to.
 
It is too senseless seeing some irrelevant hogs are trying to spin on the quality of the Tanzanian president, they devote some moments discussing how Magufuli is leading Tanzania rather than discussing their jubilee corrupted government.


I tell you, at the end of the race, Magufuli is going to win a gold medal, you tried lockdown but you failed, you are now imposing a regional isolation technique to discriminate Tanzania.

Cc: Haters, Nyang'aus , and mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
You got that right brother, He surely gonna come on top.
 
WHO wametabiri huu ugonjwa sio wa kuondoka leo wala Kesho, nchi zenye vifo vya Corona vikubwa kupitiliza duniani zimeanza kurejea maisha ya kawaida, mashirika ya ndege yameanza kufungua upya safari zao (Mfano Fly Emirates), Sisi manyani wa Afrika bado tunajisifia kujifungia ndani ili tupewe mikopo na misaada na wazungu. Hii lana sijui lini Mungu atatuondolea ngozi nyeusi
 
I don't see a point here because he is not only president who demanded that medicine from madagascar. And also right data about covid patients must come from government not otherwise.and let me assure you that he will not fail.
You mean to imply from the same government that questioned the authenticity of the results, terming the kits as faulty after testing goats and pawpaws? (same kits have been used else where with no unquestioned results) The same government that has halted the exercise of issuing infection statistics for weeks?

Right now the so called government has lost every right to question any speculations be it true or false as far as the pandemic is concerned. So if some person decides to come and say the actual infection rate in Tanzania is at 1 million, the mass will take that as gospel.
 
Back
Top Bottom