miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Habari wana jamvii.....nina shemeji yangu alianza kuongea vitu visivyoeleweka (maluweluwe) ijumaa iliyopita na kulamimika kuwa ana uchovu sana.
Dada yangu (mkewe) alihisi ni gea tu yakukwepa maswali maana alikuwa akimdai pesa ambayo alihaidiwa na huyo mumewe.Hali ya mume iliendelea hivyo ndipo alipomtilia mashaka siku ya jumapili na kumpeleka hospital aga khan.
Alipimwa presha ikaonekana ipo juu 223/118 ikabidi wamlaze na kuendelea na vipimo vingine kama full blood pic,xray ya moyo na ct scan kwa ajili ya kichwa coz alianza kupoteza kumbukumbu na kuongea maluweluwe.
Kipimo cha kichwa kilionesha ameshawahi pata stroke ya ubongo(dada halijui hilo)na kuna stroke nyingine mpya ambayo wanasema ndiyo imemfanya awe hivyo na hawezi rudi katika hali ya kawaida.
Wadau tusaidieni mawazo maana madaktar wametukatisha tamaa....
[MENTION=12367]MziziMkavu, DRMo, @DrRiwa, The Boss, Mimi49 na wengineo wote
Dada yangu (mkewe) alihisi ni gea tu yakukwepa maswali maana alikuwa akimdai pesa ambayo alihaidiwa na huyo mumewe.Hali ya mume iliendelea hivyo ndipo alipomtilia mashaka siku ya jumapili na kumpeleka hospital aga khan.
Alipimwa presha ikaonekana ipo juu 223/118 ikabidi wamlaze na kuendelea na vipimo vingine kama full blood pic,xray ya moyo na ct scan kwa ajili ya kichwa coz alianza kupoteza kumbukumbu na kuongea maluweluwe.
Kipimo cha kichwa kilionesha ameshawahi pata stroke ya ubongo(dada halijui hilo)na kuna stroke nyingine mpya ambayo wanasema ndiyo imemfanya awe hivyo na hawezi rudi katika hali ya kawaida.
Wadau tusaidieni mawazo maana madaktar wametukatisha tamaa....
[MENTION=12367]MziziMkavu, DRMo, @DrRiwa, The Boss, Mimi49 na wengineo wote
Last edited by a moderator: