Pres Obama's Trip to the Muslim World: A New Partnership

Huyu aliyeanzisha msemo wa "Black Americans au African Americans" ni nani, maana sijawahi kusikia hao weupe wakiitwa kwa asili ya utaifa wao. Tukizingatia kwamba hata hao nao hawana asili ya Marekani.
 
Huyu aliyeanzisha msemo wa "Black Americans au African Americans" ni nani, maana sijawahi kusikia hao weupe wakiitwa kwa asili ya utaifa wao. Tukizingatia kwamba hata hao nao hawana asili ya Marekani.

Muulize NYANI...hehehehe. Anajifanya wazungu sio racists! Na kutoa hoja za kijinga! Na muulize kuhusu hii pia
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=ROn_9302UHg"]YouTube - Rodney King[/ame]
 
Muulize NYANI...hehehehe. Anajifanya wazungu sio racists! Na kutoa hoja za kijinga!...

Aaaah! Mi Brother Nyani Ngabu, naheshimiana naye bana, ila ningefurahi tu kama hayo maswali yangu yakipatiwa majibu, si lazima hawe yeye. Yaani kwa yeyote anayeweza... Si tupo hapa kujifunza... au sio?

Japokuwa inadaiwa si wote, yaani baadhi, lakini ni wao ndio walioanza kuipanda hii mbegu ya kiubaguzi, maana uzowefu umeonekana tangia enzi za ukoloni...!

Mi naomba tu nifahamishwe...
why "Black Americans au African Americans"? Na hisiwe White Americans, EuropeanAmericans, and Asians Ameican?
 
Hizo terminologies zimetumiwa na wao, kwa ajili ya kutengeneza classes wakati wao ni wavamizi katika hilo bara. Unajua wazungu wanatumia sana psychological power kuliko physical confrontation. Hii ni moja ya hizo psychological warfare. Hilo neno wameshalifanya common kiasi sisi waafrika kunaliona utumiaje wake kuwa ni kawaida. Mimi siku izi sicheki nao tena! Wanajua ku-twist maneno sana. Kama hiyo video niliyo-post hapo ya Rodney King...sijui kama unajua kilichotokea, lakini polisi hao (wazungu) waliachiwa huru na jury iliyokuwa imejaa wazungu, baada ya kumpiga mwaafrika akiwa yuko chini ya ulinzi! Kitu kilileta riots kubwa sana mjini Los Angeles.

Argument yangu inasema kuwa wazungu wanaonyesha ubaguzi zaidi kuliko makabila mengine yeyote kutokana na woga ulioko ndani kwa ndani, ambao nauita woga asilia. Wazungu wamejijengea mentality ya wao kuwa superior na hivyo wakiona mtu mweusi anayepanda juu wanaanza kumshusha taratibu. Kwa mfano, kumwita Koffi Annan "cheeky darkie" akiwa katika position ya General Secretaty wa UN, sio kuonyesha asilia ya ubaguzi?. BBC NEWS | Asia-Pacific | NZ radio host in Annan race row. (bonyeza hapo maana ni link) Hapa ninatoa facts tu! Bila facts hatuendi mahali, au sio? Leo nawajia na facts! Mjua sio naongea maneno yangu bali yaliyo kweli!

Sawa, races nyingine zipo na ubaguzi, lakini tujiulize kwa nini? Kwa nini mwaafrika mweusi amchukie mzungu? Nadhani hii inatokea as a counter-reaction. Ukiangalia comments nyingi za waafrika walio na maisha mazuri kama P Diddy, LeBron, n.k. baada ya uchaguzi wa Obama, walisema kuwa sasa hivi kweli wanaweza kuwaambia watoto wao kuwa hapa marekani unaweza kuwa mtu yeyeto (cheo), hata rais. [ame="http://www.youtube.com/watch?v=hbioTWvnqYc"]YouTube - P.Diddy Blog #2:p.Diddy talks about Obama[/ame] Hii inaonyesha, ijapokuwa na mafanikio yao mengi katika miziki na michezo, mwaafrika bado alikuwa anabaguliwa na kuwekwa kando katika nafasi nyeti za uongozi wa nchi. Hii inatokana na hiyo silika ya ubaguzi iliyo ndani mwao, ya kutoamini waafrika inayochangia woga asilia. Hata Obama ali-refer hii ishu katika speech yake ya Oklahoma, alipoongelea kuwa ijapokuwa bibi yake alimtunza, lakini bado alikuwa anaogapa waafrika. Nawapa quote:

"Obama: I can no more disown him than I can disown the black community. I can no more disown him than I can my white grandmother – a woman who helped raise me, a woman who sacrificed again and again for me, a woman who loves me as much as she loves anything in this world, but a woman who once confessed her fear of black men who passed by her on the street, and who on more than one occasion has uttered racial or ethnic stereotypes that made me cringe."

Nadhani hii sasa itakuwa imetinga kwenye vichwa vya watu waliokuwa wanadhani ninapoongelea FEAR ya wazungu nilikuwa natunga tu! Ni kitu kinachojulikana sana, especially kama umeishi na wazungu kwa muda! Wengine tumeichukulia kama ni jambo la kawaida! Lakini wazungu wana WOGA ASILIA unaowafanya wawe wabaguzi.

Nawakilisha!!
 
Huyu aliyeanzisha msemo wa "Black Americans au African Americans" ni nani, maana sijawahi kusikia hao weupe wakiitwa kwa asili ya utaifa wao. Tukizingatia kwamba hata hao nao hawana asili ya Marekani.

Heshima mbele mkuu. Black Americans was the term used to describe Americans of African origin by the whites(especially in the racist South). They themselves(African Americans) then decided that they would rather be known as African Americans. Lakini unajua mbona hata sisi tuna waita watanzaia wengine kwa majina kama haya kwa mfano Muarabu au Mhindi. Kwa hiyo tusi waseme kwa kitu ambacho hata sisi Watanzania wenyewe tuna kifanya. Nadhani mtu akifanyiwa ndiyo anakua sensitive ila akifanya hajioni. Nadhani nime fanikiwa kukueleza kidogo mkuu X-Paster.
 
Heshima mbele mkuu. Black Americans was the term used to describe Americans of African origin by the whites(especially in the racist South). They themselves(African Americans) then decided that they would rather be known as African Americans. Lakini unajua mbona hata sisi tuna waita watanzaia wengine kwa majina kama haya kwa mfano Muarabu au Mhindi. Kwa hiyo tusi waseme kwa kitu ambacho hata sisi Watanzania wenyewe tuna kifanya. Nadhani mtu akifanyiwa ndiyo anakua sensitive ila akifanya hajioni. Nadhani nime fanikiwa kukueleza kidogo mkuu X-Paster.
Nashukuru mkuu kwa maelezo yako, lakini uoni kuwa hii tumeirithi indirect, kutokana na kutawaliwa kwetu na hao wakoloni, baada ya wao kutubagua sana tena hata kwenye nyumba za ibada?
 
Nashukuru mkuu kwa maelezo yako, lakini uoni kuwa hii tumeirithi indirect, kutokana na kutawaliwa kwetu na hao wakoloni, baada ya wao kutubagua sana tena hata kwenye nyumba za ibada?

Unajua mkuu sisi tuna ubaguzi wetu sema wazungu wame tuwahi ndiyo maana hatu kawii kuwa lalamikia. Kama Tanzania eti mtu ana katazwa kuoa/kuolewa na mtu wa eneo fulani au dini fulani, huo nao si ubaguzi? Hapo hatuwezi kuwalaumu wazungu. Kama sisi weusi wenyewe kwa wenyewe tuna baguana kutokana na ukabila na udini basi sisi ni worse then hao wazungu. Mimi naona tuache kulalamikia wazungu kila kitu na kuwalaumu kwa kila kitu.
 
Unajua mkuu sisi tuna ubaguzi wetu sema wazungu wame tuwahi ndiyo maana hatu kawii kuwa lalamikia. Kama Tanzania eti mtu ana katazwa kuoa/kuolewa na mtu wa eneo fulani au dini fulani, huo nao si ubaguzi? Hapo hatuwezi kuwalaumu wazungu. Kama sisi weusi wenyewe kwa wenyewe tuna baguana kutokana na ukabila na udini basi sisi ni worse then hao wazungu. Mimi naona tuache kulalamikia wazungu kila kitu na kuwalaumu kwa kila kitu.

Oooh no....sisi sio wabaguzi bana...ni wadhungu tu ndo wabagudhi
 
Unajua mkuu sisi tuna ubaguzi wetu sema wazungu wame tuwahi ndiyo maana hatu kawii kuwa lalamikia. Kama Tanzania eti mtu ana katazwa kuoa/kuolewa na mtu wa eneo fulani au dini fulani, huo nao si ubaguzi? Hapo hatuwezi kuwalaumu wazungu. Kama sisi weusi wenyewe kwa wenyewe tuna baguana kutokana na ukabila na udini basi sisi ni worse then hao wazungu. Mimi naona tuache kulalamikia wazungu kila kitu na kuwalaumu kwa kila kitu.
Kama utakuwa umenielewa, sisi Waafrika, hususani Watanzania hatukuwa na haya mambo ya ubaguzi.

Makabila mengi enzi kabla ya ukoloni, walioana bila kubaguana. Na ndio maana utakuta raiya wengi wa Kitanzania katika koo zao wamechanganyika sana. Mambo yalikuja badirika baada ya hawa wakoloni kuja na kutubagua. Kwa kuweka matabaka ya walio nacho na wasiio nacho.

Hii amani tulio nayo sasa ni matunda ya mababu zetu, tumeirithi tangia kabla ya mkoloni na vuguvugu la siyasa hizi tulizo nazo.

Mababu zetu, hao kina Milambo, Mkwawa, Songea Mbano, Wakina Mangi na wengine wengi hawakubaguana na watu wao walichanganyika sana. Na ndio maana leo kuna makabila kama Wazaramo ambao tunaambiwa kuwa wana asili ya Wagogo nakadharika.

Sikatahi miaka hii ya uhuru, ubaguzi umekuwepo, japokuwa si sana, ila upo haswa kwenye ajira na mambo mengine kama hayo ya wazazi kutaka watoto zao kuoa/kuolewa na wale ambao wazazi wanawaona kuwa ndio wanafaa kuingizwa kwenye familia zao.
 
Sehemu yeyote kulipo tofauti, lazima hiyo tofauti itumike katika kuleta utenganisho, aka ubaguzi. Usitundanganye hapa kwa kusema mababu zetu walikuwa na upendo. Walikuwa wanapigana vita sana. Hata uchagga, inafahamika sana, Wamachame na Wakibosho walipigana sana, hadi wamachame kutojenga nyumba zinazoelekea kibosho. Ukirudi katika historia ya Ulaya, na wao walipigana sana kutokana na hizi tofauti. Eg: Crusaders, Romans v Barbarians, the French against the British - aka William the Conquer, nk. Hizi ni FACTS zinaonyesha vita zilizotokana na culture differences.

Moja ya njia wazungu walizotumia katika kutawala bara la Afrika ni kuweka msisitizo katika tofauti zetu. Mfano mzuri ni Rwanda na Burundi na ishu nzima yao ya Watutsi na Wahutu. Njia hii ya ku-favour group moja zaidi ya lingine kwa kusudi la kujenga chuki itakayoleta ubaguzi.
Mnaosema hata sisi ni wabuguzi, you are basically stating the obvious. Kama kuna tofauti ya dini, lugha, utamaduni, nk, basi hiyo tofauti inaweza kuwa exploited na kuwa misused na mtu yeyote mwenye nia hiyo.

Wengi mmeshindwa kuelewa argument yangu. Mimi naongelea ubaguzi wa wazungu. Uki-break down ubaguzi to ubaguzi wa rangi (sio dini au kingine), kwa maoni yangu, wazungu wana-exhibit ubaguzi zaidi. Na hii inatokana na woga asilia walio nao. Soma quote ya Obama hapo. I think it supports the base of my argument quite well. Yeye anaongelea huu woga asilia uliokuwepo ndani ya bibi yake mzungu aliyemtunza baada ya kufariki kwa mama yake. Ukiweza kuijibu hii ndo tuendelee. Kama hujaelewa mpaka sasa...KWA HERI.Kama unajibu kwa kuleta point za ubaguzi wa Mexican, Latinos, Waafrika, nk....KWA HERI.
 
Last edited:
Back
Top Bottom