Toka niaze hii kazi ya blog ni mwaka wa nane Sasa, na nimeshafahamiana na bloggers wengi sana wawe wakongwe na wachanga na mpaka Sasa nimeshawauzia watu akaunti sio Chini ya 20,kuna baadhi wamedai kufungiwa ila waliowengi bado wanaendeleanazo mpaka Sasa, experience yangu niliyoona ni kwamba asilimia 90 ya watu wanaofungiwa ni kutofuata masharti ya Google adsense, na haya masharti huwa yanabadilika timekwatime kulingana na namna robots zao zinavyoriport issues mbalimbali, bloggers wengi hawataki kuwa wastahimilivu wanataka kutumia shortcut ya kupata pesa haraka haraka hivi kulikuwa wanaingia kwenye kishawisha cha kutumia shortcut na hatimaye kufungiwa. Kama hutajari weka link yako hapa nitakuambia kosa lilitopo kwenye blog yako mpaka ufungiwe.