Hawana bei maalum kwa sababu, katika flight hiyo hiyo moja labda ya kwenda Arusha, na hakuna Business class, wote class moja, lakini bei tofauti.. Inafuatana ni nani kati yenu alianza kununua tiketi au kufanya booking. kila unavyozidi kuchelewa kufanya booking au kununua tiketi kufikia siku ya flight yako, na nauli inaongezeka.. Kama nimekosea naomba mnisaidie..