Precision Air wamshusha Dr. Azaveli Rwaitama kwenye ndege kisa Lugha

Karibu kwa kasuku
 

Attachments

  • 545336_452976871404696_1177324086_n[1].jpg
    545336_452976871404696_1177324086_n[1].jpg
    4.5 KB · Views: 656
Even if t z their official language but not all passengers are capable to speak dat stupid language,,Wat I know,they need clients as other business done no matter language U speak...

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

You are such an idiot...are you aware of that??...eti dat stupid language,how dare you insult our national language...kiingereza chenyw hujui ata kuunganisha maneno..eti "capable to speak"=capable of speaking...mfyuuu
 
hv kupanda precision unashikiwa bundukiii?????????? hamieni huku kwa kasuku maelekezo yantolewa kwa lugha zote mbilii na ukizingatia bei ni nafuuuuu long live fast jet!!!!
 
Hivi ukigoogle kuhusu Dr Azaveli haitoi Maelezo. Kama walimjua na kuanza kumhoji basi usomi hapa Tanzania Ni bure haina faida.
 
Hilo sharti limeandikwa kwenye tiketi ili mimi kama sijui kiingereza niwe nakataa kupewa tiketi ya seat hiyo kuepuka wahudumu wasinitie aibu mbele za abiria wengine?pili mbona sheria za usafiri wa anga hazisemi hivyo?
Labda umedandia huu uzi katikati. Hujaelewa kinachozungumzwa!
Kwa manufaa yako ni hivi:- Kisheria, anaye ruhusiwa kukaa kiti kwenye emergency exit row ni lazima akidhi vigezo fulani..... ni vingi tu siwezi kuvirudia vyote, lakini moja wapo ni kuweza kuelewa lugha ya kiingereza.

Hii ni kwa sababu ikitokea dharura, atachukua majukumu ya mhudumu. Lugha rasmi ambayo kamanda anawapa amri wahudumu kwenye dharura ni Kiingereza...
Ndio sheria! Pia anarekodiwa kwenye vifaa ili isaidie upelelezi baadae.
Pili huyu mheshimiwa imeelezwa na abiria aliyekuwemo kuwa alikuwa amelewa chakari na kuleta ubishi wa kipiuzi. Hadi abiria wenzake walimzomea kwa ujinga alio onesha.

Hizo ndio facts....
Pia mimi sio kinda wa kunufaika na elimu ya kubabaisha ambayo naona umeipata wewe. Kuwa na elimu ni kuweza kujua kiwango cha uwezo na ujuaji wako. Waache wataalam wa fani zao watimize kazi zao.
Mdada kafanya kazi yake, na Captain akakubaliana nae, heshimu hilo kwanza
 
mkuu, tatizo si unajua hostess wetu, inawezekana kabisa hawamjui, wanaona 'haka kasee labda ndio mara ya kwanza, wanaona isiwe shida'..

Sasa precision inakoelekea ni kubaya zaidi, kutoka kweye kuchelewesha ndege/safari hadi, "kunyanyasa" wateja kama walivyofanya!






mkuu awa mmyanyasi na exp nilichonacho atakiwi kukaa mtu asiejua english according to icao

na hi ni kwa ajil ya safety ya pax ndge na crew kufikia kumpeleka polisi‘iwe amekataa kutoka pale km atakubali akuna sheria kumpeleka polis
 
Nimjuavyo Dr Lwaitama Ni msomi na mtu alielimika iweje aende akakae hapo na anajua hairuhusiwi?
Sio hairusiwi, panasuhusiwa kukaa pale unless wewe utakuwa hujawahi panda hiki chombo


Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Hao lazima wakulipe fidi Dr Lwaitama tena kubwa ili waheshimu RAIA/ abiria otherwise tutanyanyasika sana RAIA wema
 
meshackbaraka 22:25 26th January 2014
Ww uliendika hii hbr umesema uongo na unataka kupotosha ukweli mm nilikuwa mmoja wa wasafiri leo from dar to bkb via mza na prof lwaitama chanzo kushushwa ni kukaidi maelezo ya usalama ndani ya ndege bila sbb yoyote na hakuwa tayari kupokea maelekezo hata kwa lugha ya kiswahili na wahudumu walijitahidi kumsihi lakini alikuwa stubborn/mkorofi mpaka kufikia kuwa kero hata kwa abiria wengine bila sababu za msingi. Mwandishi tafuta vyanzo vya uhakika sio kuandika hbr kizushi. Kilichotusikitisha ni hadhi aliyonayo prof na jambo alilofanya kwani haviendani kabisa.

Reply Report Post


Hiyo ilipostiwa mwanzoni kwenye huu uzi na Meshack Baraka, tarehe 26Jan.
Mbona wachangiaji ambao hakuna hata mmoja aliyekuwemo kwenye hiyo Ndege mnaacha kuchambua ushahidi wa mtu aliyekuwepo kwenye tukio lenyewe??

Wachangiaji wengi wanakerwa na kitu tofauti na ukweli ulivyo..... Inashangaza !!!
 
hapa naona unafiki tu.mbona lwaitama hajawahi kukataa vyuo vikuu visifundishwe kwa kiingereza?mbona hapa tanzania lugha ya taifa ni kiswahili lakini lugha ya kufundishia vyuoni na sekondari ni kiingereza?kwa nini hajawahi kupinga hilo?lwaitama ni mnafiki tu katika hilo jambo.hivi anafikiri ndege ni kama gari?inapotokea dharura mkiwa juu ndio muanze kutafuta nani anajua nini?kwanini maandalizi yasiwe tangu chini?pw wako sahihi kabisa na rubani yuko sahihi kabisa,kwanza lwaitama ashitakiwa,amehatarisha usalama wa anga.ikiwezekana apigwe hata ban katika usafiri wa anga.

acha mihemko, tumia busara kidogo tu. hivi kuhoji kitu ni kufanya fujo? maana hilo ndilo alilotuhumiwa. mbona hao wahudumu hawajaripoti polisi kuwa amekataa kutumia kiswahili? nahisi huo sio unafiki!

kuhusu lugha ya kufundishia, aliwahi kusema angetamani afundishwe kwa kihaya maana hicho anafahamu vizuri sana. Dr. Lwaitama ni miongoni mwa wasomi wachache wanaounga mkono elimu itolewe kwa kiswahili kuanzia ngazi ya chini kabisa ya elimu hadi ya juu.

kumbuka ule ni usafiri na sio taasisi ya elimu
 
acha mihemko, tumia busara kidogo tu. hivi kuhoji kitu ni kufanya fujo? maana hilo ndilo alilotuhumiwa. mbona hao wahudumu hawajaripoti polisi kuwa amekataa kutumia kiswahili? nahisi huo sio unafiki!

kuhusu lugha ya kufundishia, aliwahi kusema angetamani afundishwe kwa kihaya maana hicho anafahamu vizuri sana. Dr. Lwaitama ni miongoni mwa wasomi wachache wanaounga mkono elimu itolewe kwa kiswahili kuanzia ngazi ya chini kabisa ya elimu hadi ya juu.

kumbuka ule ni usafiri na sio taasisi ya elimu

wewe ndo uache ukichwa maji,mleta mada ameeleza kinaga ubaga.hapo ni pfisini kwa mtu,mwenye ofisi ndie anaetoa utaratibu wa ofisi yake,halafu yeye analeta mzaha,kwanini asichukuliwe hatua?maelezo anayopewa ni kwa ajili ya usalama,sio wake tu bali wa kila aliyeko ndani ya ndege yeye alichokuwa anataka ni nini?cheap popularity?lugha ya anga ni kiingereza,usafiri wa anga hatukuuanzisha sisi,waliouanzisha ndio walioweka utaratibu huo na lazima ufuatwe yeye ni nani anayeleta masihara na kazi za watu?hayo ndo matatizo ya kujifanya mjuaji sana mwishowe unaonekana bwe*ge tu.kwa hiyo yeye alitaka kwa kuwa ni lwaitama ndo wabadili utaratibu wao wa kazi?wewe na yeye kwendeni zenu kule
 
Inamaana kwa sasa watu wooote wasiojua kusoma na kuelewa kingereza hawatakiwi kwenye ndege ya PW hiii si hatari? Mbona ukisafiri na KQ Kenya airways hata upandie London lugha wanatumia Swahili na English huuu ulimbukeni tumeutoa wapi?
 
wewe ndo uache ukichwa maji,mleta mada ameeleza kinaga ubaga.hapo ni pfisini kwa mtu,mwenye ofisi ndie anaetoa utaratibu wa ofisi yake,halafu yeye analeta mzaha,kwanini asichukuliwe hatua?maelezo anayopewa ni kwa ajili ya usalama,sio wake tu bali wa kila aliyeko ndani ya ndege yeye alichokuwa anataka ni nini?cheap popularity?lugha ya anga ni kiingereza,usafiri wa anga hatukuuanzisha sisi,waliouanzisha ndio walioweka utaratibu huo na lazima ufuatwe yeye ni nani anayeleta masihara na kazi za watu?hayo ndo matatizo ya kujifanya mjuaji sana mwishowe unaonekana bwe*ge tu.kwa hiyo yeye alitaka kwa kuwa ni lwaitama ndo wabadili utaratibu wao wa kazi?wewe na yeye kwendeni zenu kule
hahahahaaaaa kwikwikwi!
 
Ndege hii ilikuwa ndani ya anga la Tanzania sioni kama aliyofanya dr. Kuwa yalikuwa makosa ni lazima taifa letu liheshimiwe. Mbona huwa wanatumia lugha ya kiswahili na kiingereza kwa safari za ndani ya nchi, waache udhalirishaji
 
Niliisoma habari hii kwamba kwenye MTANZANIA last week kwamba Dr. Lwaitama alipokuwa amepanda ndege alikaa dirishani kisha air hostes akaja kumfuata na kumuuliza "Je unajua kusoma kiingereza", akajibu anajua. Kisha akaja wa pili wakati ndege inajiadaa kupaa akamuuliza hivyohivyo, akawamjibu mimi nina Phd. hivyo Englisha siyo tatizo kwangu.

Kisha cabin crew huyo akelekea chumba cha rubani na ndege ikaacha kupaa ikarudi kupark uwanjani na polisi wakaitwa wakamteremsha Dr. Lwaitama ndege ikaondoka na mizigo yake yeye akabaki pale Mwanza.

Binafsi nimejiuliza kwamba story hii haijitoshelezi kwani nimeinukuu vya kutosha na sioni kama kuna sababu ya kumshusha passenger yeyote kwa maelezo yake. Ninashawishika kuamini kuna maelezo tunayokosa.

Sasa leo nasoma MTAZANIA, kumbe kuna mtu kama mimi pia ametatizwa na kaandika article kuuliza ni nini hasa kilichojiri.

Sasa mimi nimeileta humu wadau mtusaidie mnaojua ukweli, kwani tunashindwa kuamini kwamba jinsi habari ilivyoripotiwa ilistahili Dr. Lwaitama ateremshwe pale Mwanza airport na hatimaye ikabidi akae selo na hadi akaja kukombolewa na wanasheria wa pale Mwanza.

Tupeni mtiririko.
 
Dokta, Pole sana. Lakini hii kesi utashinda kiulaini, na Precision wameingia kwenye matatizo makubwa. Baadae itabidi uwashitaki kwa usumbufu wote na udhalilishaji ulioupata kutoka kwao. Hao Precision hawaruhusiwi kuandika alama kama hizo kwa lugha mabayo siyo ya taifa letu. Wanaweza kuandika hata kwa Kichina, ili mradi kuna lugha ya Kiswahili yenye kutoa ujumbe huo. Kwa usemi wako ni kwamba hapakuwa na maneno ya Kiswahili. Hili ni kosa na wanatakiwa wachukuliwe hatua kali na Mamlaka ya Usafiri wa Anga. Hivi, hiyo ndege iliruhusiwaje kufanya huduma bila maneno ya Kiswahili kuwepo??? Precision mtaipata joto la jiwe kwa kitendo kilichofanywa na mfanyakazi wenu asiyekuwa na utu
 
Back
Top Bottom