moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Kutoka Precision Air
Ndiyo mkuu Air Tanzania wamekwama leo kutua BukobaNadhani kusema tu kwamba hakuna ndege iliyokwama ingetosha; kusema hawana ndege leo inaacha mwanya wa kwamba labda kuna ndege imekwama hata kama si ya kwao
HV mkirudi dar ndio safari itakuwa imeisha hyo au mnaanza upyaAir tanzania wameshindwa kutua leo bukoba wakaenda Mwanza na kurudi Dar View attachment 2419562
Mbona hakuna sintofahamu hapo.Mbona kama kuna sintofahamu hapa,huyu anaye eleza ndege imeshindwa kutua ikarudi Mwanza inaonyesha ni ATCL,huku Precision nao wanasema kuwa wanakanusha huo uvumi kuwa leo hawana ndege ya kwenda Bukoba...