Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Safari za Kampuni ya ndege za Precision Air zimesimama jioni hii baada ya kuwa na deni kubwa la mafuta kutoka PUMA. Wauzaji hao wa mafuta walikataa kuwapa mafuta PW mpaka walipe deni la nyuma ambalo halijajulikana ni kiasi gani.
Abiria waliokuwa waondoke saa 10 jioni hii, kuelekea Nairobi mpaka saa 12 jioni walikuwa bado wako wakisubiri na hawajajua hatima hao
Abiria waliokuwa waondoke saa 10 jioni hii, kuelekea Nairobi mpaka saa 12 jioni walikuwa bado wako wakisubiri na hawajajua hatima hao