mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 820
- 1,335
Hivi kweli jamani route ya humu ndani ya nchi from Mwanza to Dar ndege inatua Dar saa tisa usiku? Hii ni ile yenye ratiba inayoonesha inaondoka saa kumi na moja!
Kwanza mna customer care mbovu, hamjali kabisa wateja, mnawatreat mnavotaka nyie!
Sikilizeni; kama msharidhika kaeni pembeni tujikongoje na Air Tanzania yetu! Mnatukera sana sio siri, hapo ni hivi vindege viwili; mkiwa na dozen si ndio itakua issue?
Mmbongo akipata bwana aaahaaagahhhhhh mmm******$$$##
Kwanza mna customer care mbovu, hamjali kabisa wateja, mnawatreat mnavotaka nyie!
Sikilizeni; kama msharidhika kaeni pembeni tujikongoje na Air Tanzania yetu! Mnatukera sana sio siri, hapo ni hivi vindege viwili; mkiwa na dozen si ndio itakua issue?
Mmbongo akipata bwana aaahaaagahhhhhh mmm******$$$##