Ndege zote zinazonunuliwa na PW ni mpya- brand new!
Amini usiamini PW wana routes nyingi na hakuna ndege inayokuwa on ground kusubiria itakayopata hitilafu.
Kila ndege mpya inayokuja inapangiwa route yake, na si rahisi kuvunja route ya kwenye ratiba.
Hii ndiyo shida ya kuwa na ukame wa mashirika ya ndege nchini, lau yangekuwepo PW wangekodi ingine ikapiga route husika.
Nawasifu sana PW so far kwa kuwa National Carrier, na wanaiepusha nchi na aibu ya mwaka.
Labda niwaulize wote mnaolaumu na kubeza kazi iliyotukuka ya PW kuwa ni kipi bora, kurusha ndege yenye snag, au kuipeleka kwanza hangar ikarekebishwe hata kama matengenezo yatakula masaa 6? Naomba jibu.
Mnazifahamu vizuri ajali za ndege, na jinsi zisivyo na Mswalie Mtume katika kuchinja abiria, halafu leo mnambeza rubani anayetoa taarifa kuwa ndege ina snag! kwa watu waliostaarabika walitakiwa watoe compliment kwa PW kwa kuzingatia kanuni za Usalama wa ndege na wasafiri.
Nawapongeza sana PW kwa umakini wenu, ndiyo maana hadi leo hamjakumbwa na fatal au catastrophi accident. Huu ni uzingatiaji wa juu sana wa kanuni za usalama.
Ki-aviation inasemekana kuwa 85% ya ajali za ndege husababishwa kutozingatia kanuni za usalama. Masuala kama mchafuko wa hali ya hewa na mis-communication yanachangia percent ndogo iliyobakia.
Ndege katika hali ya kawaida ina uwezo wa juu sana wa kujiepushia ajali yenyewe inapokuwa angani. Ndege inaweza kudevelop tatizo kubwa ikiwa angani, lakini ikatumia spare-capacity yake kukata mawingu hadi mwisho wa route yake, then ikishatua haitatoa go-ahead kwa rubani kuiondoa tena hadi irekebishwe.
Sasa system za safety zenye akili namna hiyo tunazibeza, tunataka nini?
Ile kawaida yetu ya kushinda tunalaumu tusiiingize kwenye masuala ya technical, na hasa maeneo nyeti kama usafiri wa anga.
Angani hakuna parking au stendi meen.
Hata Air Tanzania ilianza hivyo hivyo....
huwa najiuliza kwanini kila siku wao tu ndio mabingwa wa kucancel flight zao?
Je tuamini kuwa ni shibe?
Ila hawa jamaa kama ni ndege wanazo nyingi sasa inakuwaje wana cancel flight kwa muda mrefu sana hivyo wakati kila siku twasikia wameagiza ndege mpya kutoka France
Je tuamini kuwa hizo ndege wanazouziwa huwa ni mbovu maana haiwezekani juzi wameintro ndgee mpya leo ndege wanacancel.
Pia watanzania mnajiunga kwa kumsupport Fastjet ili huyu mtu aweke heshima
Poleni sana kwa usumbufu.
Bear in Mind that all those are unplanned events.
Una afadhali wewe umeambiwa ndege mbovu.
Mie niliambiwa ndege imejaa, ilhali nina return ticket tangu naondoka Dar jana yake. Nilikuwa najisikia kupigana pale KIA, thanks to mchelewaji mmoja, nikapewa nafasi yake
Mkuu thnx kwanza,
Ni mara chache sana kutokua airport 1.30hrs kabla ya safari za ndani na 2hrs kwa za nje. Mfano Leo tu nimefika airport saa 12.05 na flight yangu ilitakiwa iwe 1.10 asubuhi, hapo kwa Mimi nilijiona Kama nimechelewa, na ndio maana nilikua nikirush!! Na checkin counter ilikua na foleni, dada mmoja akicheck lkn ghafra akastop kucheck na kusema kunaitirafu kwenye hiyo ndege! Kwa precision yamenikuta mengi, mzigo kusauhuliwa, kuharishwa kwa flight na wakati mwingine unaambiwa ndege imejaa wkt wa kucheckin
KIA ndi zao wanauza ticket mara mbili.halafu wale waudumu wanadhalau sana hawana kauli nzuri kwa wateja has yule dem mwembamba
Aliyekwambia ndege ina hitilafu ni nani kama sio staff wa PW?
Besides, snag kwenye ndege ni kawaida tu, kuwa na subra, watawaletea ingine.
PW haina kirefu(ingawa unaweza kuhisi kuwa p=precision), lakini ni mfumo wa IATA wa utambuzi (identity) wa shirika la ndege kwa kutumia herufi mbili tu(two letter designator) kwa ndege yoyote inayofanya safari za kibiashara.Mkuu Kirefu cha PW ni nn?
PW haina kirefu(ingawa unaweza kuhisi kuwa p=precision), lakini ni mfumo wa IATA wa utambuzi (identity) wa shirika la ndege kwa kutumia herufi mbili tu(two letter designator) kwa ndege yoyote inayofanya safari za kibiashara.
Herufi hizi zinatumika kwenye masuala ya routes, booking/reservations, ratiba, tiket na ishu zote zinazohusiana na biashara ya ndege za kampuni hiyo.
Kwa Precision utaona hata registration za ndege zao zote zinaanzia na PW..., lakini herufi ya tatu inabadilikabadilika kwa kila ndege(PWA, PWB,PWC,PWD,PWE etc)
hahaha Fast Jet is more worse.
Ndege gani iko full all the time. Ila nimegundua watanzania wanapenda vitu vya mteremko sana!! Very cheap!
cheap generalisation; barbs to you! sio kupenda "mteremko" kama unavyojaribu kurahisisha mambo bali ni kutafuta uwiano baina ya mahitaji na mgawanyo wa raslimali adimu!
hahaha Fast Jet is more worse.
Ndege gani iko full all the time. Ila nimegundua watanzania wanapenda vitu vya mteremko sana!! Very cheap!
Ndege zote zinazonunuliwa na PW ni mpya- brand new!
Amini usiamini PW wana routes nyingi na hakuna ndege inayokuwa on ground kusubiria itakayopata hitilafu.
Kila ndege mpya inayokuja inapangiwa route yake, na si rahisi kuvunja route ya kwenye ratiba.
Hii ndiyo shida ya kuwa na ukame wa mashirika ya ndege nchini, lau yangekuwepo PW wangekodi ingine ikapiga route husika.
Nawasifu sana PW so far kwa kuwa National Carrier, na wanaiepusha nchi na aibu ya mwaka.
Labda niwaulize wote mnaolaumu na kubeza kazi iliyotukuka ya PW kuwa ni kipi bora, kurusha ndege yenye snag, au kuipeleka kwanza hangar ikarekebishwe hata kama matengenezo yatakula masaa 6? Naomba jibu.
Mnazifahamu vizuri ajali za ndege, na jinsi zisivyo na Mswalie Mtume katika kuchinja abiria, halafu leo mnambeza rubani anayetoa taarifa kuwa ndege ina snag! kwa watu waliostaarabika walitakiwa watoe compliment kwa PW kwa kuzingatia kanuni za Usalama wa ndege na wasafiri.
Nawapongeza sana PW kwa umakini wenu, ndiyo maana hadi leo hamjakumbwa na fatal au catastrophi accident. Huu ni uzingatiaji wa juu sana wa kanuni za usalama.
Ki-aviation inasemekana kuwa 85% ya ajali za ndege husababishwa kutozingatia kanuni za usalama. Masuala kama mchafuko wa hali ya hewa na mis-communication yanachangia percent ndogo iliyobakia.
Ndege katika hali ya kawaida ina uwezo wa juu sana wa kujiepushia ajali yenyewe inapokuwa angani. Ndege inaweza kudevelop tatizo kubwa ikiwa angani, lakini ikatumia spare-capacity yake kukata mawingu hadi mwisho wa route yake, then ikishatua haitatoa go-ahead kwa rubani kuiondoa tena hadi irekebishwe.
Sasa system za safety zenye akili namna hiyo tunazibeza, tunataka nini?
Ile kawaida yetu ya kushinda tunalaumu tusiiingize kwenye masuala ya technical, na hasa maeneo nyeti kama usafiri wa anga.
Angani hakuna parking au stendi meen.