Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,014
Nimeanzisha huu uzii ilii wale tuliopita na kusomaa kibaha secondary kwa miaka tofauti tuweze kufahamiana na kukumbushana nyakati na matukio tofauti yaliyopata kutokea enzi hizoo tupoo kibaha Secondary...!! Lakini has a zaidi tupate kujuana vizuri na kusaidiana juu ya mambo mbali mbali ya kimaisha..Pia HONGERAA Sana kwa vijana waliomaliza Form six mwaka huu 2018 hakika mumeitenda Kazii..
Live Long Kibaha sec...[HASHTAG]#welcome[/HASHTAG]
Live Long Kibaha sec...[HASHTAG]#welcome[/HASHTAG]