Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi Simba SC, leo Julai 17, 2022 imecheza mchezo wake wa kwanza wa Kimataifa wa kirafiki (International Friendly Match) dhidi ya Ismailia SC ambayo inashiriki Ligi Kuu nchini Misri ambapo mchezo huo umekwisha kwa sare ya kufungana bao moja kwa moja, bao la Simba SC likiwekwa kimiani na Nyota Augustine Okrah.
FT: Ismailia SC 1-1 Simba SC
FT: Ismailia SC 1-1 Simba SC