John champhene
Member
- Mar 16, 2013
- 31
- 4
Jamaa hakika pasaka itakuwa chungu leo na ukumbusho kesho na kesho kutwa baada ya kuibiwa gari na changudoa hapa maeneo xa kaumba bar mjini moro.jamaa alikuja peke yake bar,ila kuna madada wanajiuza hivyo aka mchukua m1 ili aburudike nae sasa wakawa wamekaa wana kunywa kwanza.jamaa si akanyanyuka aende chooni huku kalewa chakari.changudoa aka abeba funguo juu ya meza na kusepa na gari.Hapa tulipo jamaa kachanganyikiwa anajisachi mifukoni.