ni bora ungetuambia na elimu yake. hope ana degree namshauri aende PPRAMambo zenu jamani kuna Mdogo wangu amepata kazi PPRA ila yeye kwa sasa yuko kampuni moja hivi analipwa laki 9 net salary anajiulize je aache huko aliko? Maana Ana wasiwasi na kulipwa mshahara mdogo
Yap Ana degree ya procurement
Kila mahali panalipa d3pending on your creativity, hard work and luck
Mambo zenu jamani kuna Mdogo wangu amepata kazi PPRA ila yeye kwa sasa yuko kampuni moja hivi analipwa laki 9 net salary anajiulize je aache huko aliko? Maana Ana wasiwasi na kulipwa mshahara mdogo
vipi PPRA wamewapokea.. maana wanazengua kupokea watu for now
Habarini zenu wadau Kama wiki 2 zilizopita utumishi walitoa majina ya watu kuitwa kazini mdogo wangu alikuwa mmojawao aliitwa PPRA lakini alipoenda kuripoti akaambiwa asubiri atapigiwa Simu sasa ana wasiwasi sana. Naombeni ushauri we nu ili atoe wasiwasi jamani