PPF Waanza kuita watu

Status
Not open for further replies.
kivipi mkuu,toa maelezo kidogo,maana hata mm nikimwambia usiende,itabidi nipe maelezo kidogo
mshika mawili moja humponyoka,na kama tayari anamishe anajisumbua nini kuja kwenye interview ya wato 10,000
 
Ppf huwa wanatoa only 10 qns. Na hasa soma mambo yanayowahusu wao. Js go kwenye web yao.
 
Mungu awapiganie na kuwasimamia kwa ajili ya interview ya kesho.
 
Interview hii ya jana ilikuwa ya aina. nadhani jamaa walitaka kupunguza watu wengi maana style waliotumia mm
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…