PPF Waanza kuita watu

Status
Not open for further replies.

MY REVIEWS

Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
10
Reaction score
6
Wadau, PPF wameanza kuita watu kwenye usahili kaa karibu na simu yako

 
Mi wamenitumia sms....post ya contribution trainee...jamani, mwenye uzoefu na interview zao hatujuzee wakuu...
 
Wamepiga cm au? Mm niliomba ngoja tusubiri.
 
Ni kwa post ya Contribution Trainee. Nimepokea sms. Wadau kaeni tayari mambo yameshaiva. Venue ni duce. Tarehe 6 june..
 
Nafasi: Member Care Trainee

Mahali: DUCE

Muda: 06/06/2015 (05:00 Asubuhi).

Nitakuwapo siku hiyo kamwe sitachoka kuhudhuria Usaili (mara ya 12 sasa ) wowote nitakaoitwa mpaka pale Mungu atakaponifungulia njia ya Mafanikio yangu.
 
Kwa mtakaoenda kwenye interview hakikisheni mnasoma taarifa muhimu kuhusu ppf kwenye website yao kama vision,mission, aina za mafao yatolewayo, what is ppf na mengineyo yapatikanayo kwenye website. Pia someni kuhusu mamlaka inayohusika na mifuko ya jamii SSRA, kazi zake na mifuko mingapi ya jamii iliyopo na kwanini ipo. General questions zinahusika pia so be well prepared. Nilishawahi kufanya hapo interview niakaangukia pua.
Nawasilisha
 
Hawajabainisha na kutoa maelezo ya kutosha kama ni Oral au Written Interview!
 
Ahsante ndugu kwa taarifa, tutaifanyia kazi!
 
Nafasi: Member Care Trainee

Mahali: DUCE

Muda: 06/06/2015 (05:00 Asubuhi).

Nitakuwapo siku hiyo kamwe sitachoka kuhudhuria Usaili (mara ya 12 sasa ) wowote nitakaoitwa mpaka pale Mungu atakaponifungulia njia ya Mafanikio yangu.

NAFASI YAKO IPO MKUU Mungu KAKUANDALIA.....MTAFUTAJI HACHOKI
 

vp mkuu wakati mnafanya usaili idadi ya watu mlioitwa ilikuwaje na kuna uwazi wa kutosha katika kuajiri ama kuna ukiritimba pia?
 
Imetulia kwa selected, bg up
 
NAFASI YAKO IPO MKUU Mungu KAKUANDALIA.....MTAFUTAJI HACHOKI

Ahsante nashukuru sana, siku yangu ipo na inakuja tu kwani sijakata tamaa na wala sitochoka hata kidogo!
 
safar moja huanza nyingine kila la kheri ila wangeweka kwenye magazet majina ingekuwa pouwah zaid mchakato uwe openes but all to all niwashukuru kwa hili
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…