PPF na NSSF

PPF na NSSF

Kwanza wewe tuambie malengo yako ni nini; je unataka faida za muda mrefu au muda mfupi, kwa mfano unataka kuja kuwa pensioner?
 
uzuri au ubaya ni subjective, ila kwa wastani NSSF ni much better (in my opinions), sijui ni kitu gani unachodhani kwako ungependa mfuko ukitende ili uuone kuwa ni bora, nje ya hapo si bora, endelea kutafiti.
 
Ungesema unataka uzuri wa aina gani!mafao baada ya kustaafu,kuwa na product nyingi,kuwa flexible au kuwa na wateja wengi au kuwa na matawi mengi?kila mfuko una uzuri wake,pitia yote ulinganishe utaamua wapi uende!
 
It depends on your goals, long term vs. short term but customer service is better at PPF. I have had an experience with both and although NSSF has good benefits their customer service is so so SO poor it's enough to push you to the other pension funds. Last week I went to PPF and received excellent customer service from the ladies on the second floor hadi ilibidi niache compliment kwenye suggestion box yao. NSSF inahitaji mechanism kama hii kwa kweli. Hongera kwa head of customer service PPF.
 
nenda kwa Acts zao(sheria zao) ukasome what kinds of benefits wanazotoa then utajua umeridhika na upande gani..
 
mfuko upi unamchangia mwajiriwa kias kikubwa? Asanten kwa michango yenu lakini.
 
Mfuko unaolipa vizuri ni PSPF kwa sababu wao hawaangalii umechangia kiasi gani kama mifuko mingine ila wanachoangalia wao ni mshahara wa mwisho wa mfanyakazi anapostaafu na ndio wanaoutumia kukokotoa mafao yake.Huu ndo mfuko wa serikali kuu na mifuko mingine yote imetokea hapo.
 
Kwa PPF mwanachama anachangia 5% ya mshahara na mwajiri 15%, NSSF mwanachama na mwajiri wanachangia 10% each
 
kwa ppf mwanachama anachangia 5% ya mshahara na mwajiri 15%, nssf mwanachama na mwajiri wanachangia 10% each

lakini nimeckia kwamba sa hv mwajiri na mwajiriwa wanachangia 10 percent kila mmoja.
 
inategemea malengo yako ni ya muda gani if is long term try NSSF hata kama wana poor customer service but its much better,.
 
Mimi nimeshawahi kuwa mwnachama wa mifuko yote miwili. As i write bado nachangia PPF NA makato ni 5%.
Inategemea na mkataba wako na mwajiri wako,mimi niko PPF nakatwa 10% na mwajiri anakatwa 10%
 
Back
Top Bottom