MAJANGA NIACHE
Member
- Feb 21, 2012
- 95
- 6
wadau naombeni msaada wa kutaka kujua upi ni mfuko mzuri wa jamii kati ya PPF na NSSF na kwa sababu gani!!!
wadau naombeni msaada wa kutaka kujua upi ni mfuko mzuri wa jamii kati ya PPF na NSSF na kwa sababu gani!!!
kwa ppf mwanachama anachangia 5% ya mshahara na mwajiri 15%, nssf mwanachama na mwajiri wanachangia 10% each
lakini nimeckia kwamba sa hv mwajiri na mwajiriwa wanachangia 10 percent kila mmoja.
Inategemea na mkataba wako na mwajiri wako,mimi niko PPF nakatwa 10% na mwajiri anakatwa 10%Mimi nimeshawahi kuwa mwnachama wa mifuko yote miwili. As i write bado nachangia PPF NA makato ni 5%.