PPF: Lipeni mafao ya wastaafu mapema!

diunal

JF-Expert Member
May 12, 2013
499
70
Ni jambo la kushangaza kuona mfuko wa PPF wanafanya wapendavyo kuamua ni lini mstaafu, aliyeacha kazi kwa hiari au kufukuzwa alipwe haki zake.Haiingii akili mtu ajaze fomu za kulipwa mafao kwa wakati, halafu aje kulipwa baada ya miaka miwili baadae!!Mkurugenzi PPF wewe na watumishi wako wajibikeni tafadhali kutoa haki za watu
 
Ni jambo la kushangaza kuona mfuko wa PPF wanafanya wapendavyo kuamua ni lini mstaafu, aliyeacha kazi kwa hiari au kufukuzwa alipwe haki zake.Haiingii akili mtu ajaze fomu za kulipwa mafao kwa wakati, halafu aje kulipwa baada ya miaka miwili baadae!!Mkurugenzi PPF wewe na watumishi wako wajibikeni tafadhali kutoa haki za watu


Kuna ndugu yangu aliacha kazi hajalipwa hadi leo mwaka mzima baadae. Wala hajui atalipwa lini.
 
Sidhan kama kuna chombo cha kuwasimamia hawa jamaa, na hata mtu akitaka kutoa malalamiko yake atoe wapi. UZEMBE mkubwa, wamejisahau na mabilioni ya michango ya wafanyakazi!! NARUDIA tena PPF tekelezeni wajibu wenu kwa kuwalipa wastaafu haki yao kwa wakati. UKIRITIMBA unaumiza watanzania wenzetu
 
Mi nikistaafu watalipa tu. Yaani wafaidi hela zangu wakati nafanya kazi halafu wachelewe kunilipa haki yangu!! Mbona ntamwendea mkurugenzi!!
 
Ni jambo la kushangaza kuona mfuko wa PPF wanafanya wapendavyo kuamua ni lini mstaafu, aliyeacha kazi kwa hiari au kufukuzwa alipwe haki zake.Haiingii akili mtu ajaze fomu za kulipwa mafao kwa wakati, halafu aje kulipwa baada ya miaka miwili baadae!!Mkurugenzi PPF wewe na watumishi wako wajibikeni tafadhali kutoa haki za watu
Tulipowaambia kuwa PPF pesa imeliwa na wakurugenzi mliona ni utani mkakaa kimya. Sasa ni mmoja mmoja kukiona cha moto kusubiri 2 years. Wakurugenzi wa PPF akiwemo na Mkurugenzi Mkuu wa sasa (2005 to date) walilipwa ndani ya masaa 8 Tshs 220,000,000 kwa kila mkurugenzi na Tshs 540,000,000 Mkurugenzi Mkuu. wewe unayedai milioni mbili utasubiri hadi kifo kikutenganishe na PPF. Tatizo jingine ni serikali kuwaacha wachezee pesa za wanachama. Waziri wa fedha achunguze wanavyopiga misele ulaya na hasa Dubai karibu kila mwezi kwa kutumia pesa za michango.
 
Ni jambo la kushangaza kuona mfuko wa PPF wanafanya wapendavyo kuamua ni lini mstaafu, aliyeacha kazi kwa hiari au kufukuzwa alipwe haki zake.Haiingii akili mtu ajaze fomu za kulipwa mafao kwa wakati, halafu aje kulipwa baada ya miaka miwili baadae!!Mkurugenzi PPF wewe na watumishi wako wajibikeni tafadhali kutoa haki za watu

Yaani its too much jamani hawa PPF balaa watoa huduma kwa Wateja wote wajawazito wanafanya wanavyojisikia
 
Ifikie wakati waweke ukomo wa kipindi cha juu kabisa kutoa mafao, kinyume chake walipe riba.
 
hivi NSSF FAO la kujitoa linakuwaje? na kama mtu kaacha kazi inachukua Mda gani kulipwa FAO lake?
 
Kuna jamaa yangu mpaka leo anasumbuliwa mafao yake toka January mpaka leo. Hivi mnategemea mpaka mtengane nae kwa kifo chake? Acheni ujinga wakati mna hela zake, lipeni kwa wakati.
 
Ni jambo la kushangaza kuona mfuko wa PPF wanafanya wapendavyo kuamua ni lini mstaafu, aliyeacha kazi kwa hiari au kufukuzwa alipwe haki zake.Haiingii akili mtu ajaze fomu za kulipwa mafao kwa wakati, halafu aje kulipwa baada ya miaka miwili baadae!!Mkurugenzi PPF wewe na watumishi wako wajibikeni tafadhali kutoa haki za watu

Diunal: Kuna chombo kinaitwa SSRA (Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii). Ni vema hoja hii ifikishwe kwa chombo hiki!
 
Diunal: Kuna chombo kinaitwa SSRA (Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii). Ni vema hoja hii ifikishwe kwa chombo hiki!
mavumbi, Thenkyu.Ngoja tuulize kanuni za kulipa mafao, hasa kuzingatia timeline
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom