PPF commercial tower Sam Nujoma road litakuwa jengo refu zaidi Afrika Mashariki

Daa! I wish hao jamaa wangefikiria kujenga hospital bora yenye vifaa tiba vya kisasa kuliko zote barani Afrika. Ingetusaidia saana kuliko haya majengo marefu.
 
Wenzenu wanapiga hesabu za miaka 10 ijayo ya maisha ya watanzania,nyie mnaleta uchawi humu.

Hivi unajua mji huu unakua kwa kasi kiasi gani???unajua watu wanazaliwa wangapi kwa siku moja tu wakazi wa dar pekee???unajua wataishi wapi???
Kwa hiyo watu wanaoongezeka wataenda kuishi kwenye magorofa ya PPF? Rekebisha dishi hilo naona kama limecheza hivi
 
Daa! I wish hao jamaa wangefikiria kujenga hospital bora yenye vifaa tiba vya kisasa kuliko zote barani Afrika. Ingetusaidia saana kuliko haya majengo marefu.
Nafikiri cost ya kuendesha hospitali si ndogo ,halafu real estate investment ina higher return for a long period of time
 
Kuna nyepesi nyepesi kwamba, Muswada umeandaliwa kwenye mifuko ya jamii.

Kwanza mifuko yote kuungwanishwa na kubaki miwili.

Pili mstaafu hata pokea gawio /Fao lake lote, atapewa 28% ya fao lake na baada ya hapo atakuwa analipwa mshahara wake kama ulivyo mpaka anakufa.

Sasa hapa unambiwa watumishi sijui wataliamsha popo?
Kuna Kanali mstaafu nimemweleza kaniambia kama ni kweli basi Wanajeshi hawatakubali, babda excuse iwe kwenye vyombo hivyo vya dola, vinginevyo watamuondoa asubui na mapema kabla hajasaini
Sitashangaa wakifanya hivo..hao jamaa sasahiv wamekaa kibabe sana na kiwiziwizi
 
Nafikiri cost ya kuendesha hospitali si ndogo ,halafu real estate investment ina higher return for a long period of time
Kweli hospital ni cost kubwa. Lakini kwa utaratibu wao wa kukusanya pesa, sidhani kama watashindwa kuiendesha. Haya majengo hayana faida ya moja kwa moja kwa wachangiaji wa hiyo mifuko. Ila hospitali ya kisasa ingesaidia saana, hasa wastaafu.
 
Kweli hospital ni cost kubwa. Lakini kwa utaratibu wao wa kukusanya pesa, sidhani kama watashindwa kuiendesha. Haya majengo hayana faida ya moja kwa moja kwa wachangiaji wa hiyo mifuko. Ila hospitali ya kisasa ingesaidia saana, hasa wastaafu.
Huu ni uwekezaji wa kibiashara! Uwekezaji wa kibiashara unaangalia commercial and not social return! Hizo social returns wengine wanatoa as a part of security fund benefits na ndio maana ipo mifuko inayotoa bima ya afya, mikopo ya elimu etc. Lakini linapokuja suala la uwekezaji wa kibiashara it's 100 business na usipofanya hivyo utajikuta mifuko inaanza kuyumba angalau kwa kushindwa kulipa on time.
 
Kwa hiyo watu wanaoongezeka wataenda kuishi kwenye magorofa ya PPF? Rekebisha dishi hilo naona kama limecheza hivi
Kwani hayo maghorofa yanajengewa njiwa,au hata hujui ni ya nini!!!!,uko unalaumu na kutabiri tu???

Kaa sasa usubiri huo uchumi kuporomoka na majengo kukosa wapangaji kama unadhani wewe una akili sana kuliko wanaoamua kuwekeza mamilioni ya pesa ktk hayo majengo.
 
Huu ni uwekezaji wa kibiashara! Uwekezaji wa kibiashara unaangalia commercial and not social return! Hizo social returns wengine wanatoa as a part of security fund benefits na ndio maana ipo mifuko inayotoa bima ya afya, mikopo ya elimu etc. Lakini linapokuja suala la uwekezaji wa kibiashara it's 100 business na usipofanya hivyo utajikuta mifuko inaanza kuyumba angalau kwa kushindwa kulipa on time.
Ni kweli. Ninakubaliana na wewe. Ila ukiangalia kwa upande wa biashara, well equiped hospitals zina mapato makubwa saana, hata kama haziendeshwi kibiashara. Pesa inayotumika kwa mwaka kupeleka ndugu zetu india na nchi nyingine za nje kama ikiwa channelled kwenye uchumi wetu, italeta faida kubwa saana, hata mifuko ya kijamii itaweza kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa.
 
Ni kweli. Ninakubaliana na wewe. Ila ukiangalia kwa upande wa biashara, well equiped hospitals zina mapato makubwa saana, hata kama haziendeshwi kibiashara. Pesa inayotumika kwa mwaka kupeleka ndugu zetu india na nchi nyingine za nje kama ikiwa channelled kwenye uchumi wetu, italeta faida kubwa saana, hata mifuko ya kijamii itaweza kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa.
Sikatai kwamba hospitals hazitengenezi faida lakini faida zake huwezi kabisa kulinganisha na real estates. Na hakuna kitu pasua kichwa kwenye biashara kama operating costs. So, ingawaje hospitals zinaingiza mapato makubwa lakini operating costs ni kubwa... daily, weekly, monthly, annually!

Likewise, watu wako more prefered na real estate kwa sababu ni less risk! Operating costs ni ndogo! Ukishaweka mzigo, kinachofuata hapo ni mavuno kwa miaka nenda rudi... there's very little to fear!

Na wakati siku ukisema biashara ya hospitali basi, kumbuka vifaa vyote utauza kwa bei ya kutupa huku ukilazimika kuwalipa wafanyakazi stahiki zao wakati real estate, hata ukisema biashara sasa basi miaka 50 baadae, jengo utaliuza maradufu ya ile thamani uliyonunulia unless pawe pametokea unforeseen economic depression!!!

And trust me, duniani kote biashara kubwa za pension funds ni real estates kwa sababu ni less risky!
 
Sema Tanzania sio Africa mashariki mana Kenya tayari wana britam tower at 200m ,napia Kenya wanajenga pinnacle tower 70floors at 300m+ kwahiyo ppf litakuwa tallest in tz labda wapite britam. Pia nikitazama juu ya jengo hill naona wameshafika floor ya mwisho ambayo ni 35 saw a na pspf towers

Britam towers ni cha mtoto ina floors 32 tu.

TPA Twin Towers ndo za kwanza kuongoza Afrika Mashariki with 35 floors by end of JK's presidency. Hii PSSSF Tower imejiunga na club kwa kuwa nayo ina floors 35.

Kenya watachukua uongozi wakikamilisha Pinnacle Tower ambayo itakuwa ndefu mara mbili kwa 70 floors.
 
Back
Top Bottom